Ameolewa hana mwanaume?Wakuu kwema? Tunaomba msaada wa kitabibu/ ushauri ili huyu msichana apone. It's more than 5 years ila saiz hali ndio inazidi kuwa mbaya Zaidi, huyu ni binamu yangu analalamika kuumwa na kiuno na sehem ya chini ya mgongo. Ameenda hospital wanamwambia tatizo hilo limesababishwa na uzazi na kuanza kufanya kazi nzito baada ya kujifungua. Kama kuna mtu anafaham dawa/ tiba tunaomba atujuze tafadhali.
Mtoto kwa baba hakuwi hata awe na miaka 50 atabaki kuwa binti! Jambo la msingi anaumwa kama kuna dawa unaijua mjuze jamaa!Ngoja kwanza, katika wasichana 37 wote hao huyo tu wa 36 ndio mwenye tatizo au katika mabinti zako hao wa miaka 2,5,8 huyu Bint yako wa miaka 36 ndio anatatizo?
Kama kuna maajabu kwa wasichana basi ajabu ya kwanza ni huu umri wa kuitwa kwake msichana.
Pole kwa binamu yako Nyama ya hamu.
Augue pole.
Kama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).Wakuu kwema? Tunaomba msaada wa kitabibu/ ushauri ili huyu mwanamke apone. It's more than 5 years ila saiz hali ndio inazidi kuwa mbaya Zaidi, huyu ni binamu yangu analalamika kuumwa na kiuno na sehem ya chini ya mgongo. Ameenda hospital wanamwambia tatizo hilo limesababishwa na uzazi na kuanza kufanya kazi nzito baada ya kujifungua. Kama kuna mtu anafaham dawa/ tiba tunaomba atujuze tafadhali.Mwanamama huyu ana watoto wa tatu kwa sasa.
π π πNgoja kwanza, katika wasichana 37 wote hao huyo tu wa 36 ndio mwenye tatizo au katika mabinti zako hao wa miaka 2,5,8 huyu Bint yako wa miaka 36 ndio anatatizo?
Kama kuna maajabu kwa wasichana basi ajabu ya kwanza ni huu umri wa kuitwa kwake msichana.
Pole kwa binamu yako Nyama ya hamu.
Augue pole.
Tatizo la kuzaa mtoto wa Kwanza umri ukiwa umeenda Sana.
Amshkuru Mungu, hajafa Wala hajaua mtoto anapojifungua.
Inatokana na nyonga kukakamaa Kama jiwe
Nyonga ikikakamaa Sana mtoto kupita Ni mbinde,ndo Mana wengi wanaopt kupigwa kisu.
Akilazimisha ananyonga mtoto au anakufa yeye mwenyewe.
Ndo maana inasisitizwa umri wa mwanamke awe ameshazaa Ni kuanzia 18-28 ambapo nyonga bado inakua flexible.
Ikizd hapo Ni kujitafutia MATATIZO ya uzazi Kama Uyo dada ako.
SOLUTION: Aanze kidg kidg kufanya kegel exercise tatizo litaisha lenyewe
POLE SANA MKUU
Humu waweza kupotezwa kumbe!Haahahhaahhaa...mkuu unayafahamu haya uloandika? Wanashauri umri wa kuzaa uwe mwisji 35..wengine wanashauri had 40..ila kegel excercise sio kbs na analoumwa..hahahaa kege ni.mazoez ya kurudisha uke ...elastic..lol...
Mama nakusalimu kwa Jina la Jamhuri! πKama ana miaka 36 na bado ni "msichana" dawa ni aondoke kwenye usichana awe mwanamke (aolewe).
Akitoka tu kwenye usichana tatizo lake litakuwa historia.