Msichana wa Kazi anatafutwa

Kuna vyeti vya madukani mama.
 
Je atakuwa anaishi kwako au anafanya na kurudi home?

Ataishi kwangu, lakini akimua kuishi kwake haitakuwa tabu lakini kumbuka ni kijijini. Ajira inapatika wilayani Makete
 
teh teeh, huyu mtafuta hausigeli najua yuko SINGO ndio maana nimeuliza kama akikosekana hausigeli zen tuangalie otenativu, yuu noo wora i miiin?!.
Lakini Mkuu majukumu ya House Girl na "House wife" nadhani yanatofautiana sana au nimekosea? Lakini umenichekesha kuwa unajua niko single sasa why ask?
 
Lakini Mkuu majukumu ya House Girl ana House wife nadhani yanatofautiana sana au nimekosea? Lakini umenichekesha kuwa unajua niko single sasa why ask?

You never know with women!
 
Hahaha! Mpwa bana! Ulijuaje? Avatar au? Stuka! Unaweza kuta huyu mtu ni HE anatafuta kifaranga kimtindo! Housegirl anakula mshahara kima cha chini cha mfanyakazi wa serikali na mkataba wa miezi mitatu, au hujaisoma hiyo? Na NSSF atakatiwa siyo?
ha ha ha Maisha yenyewe magumu haya, tunapiga vita ufisadi hap kila siku kwanini sisi wenyewe tusianze kuwa mfano? Kumlipa mtu sawa sawa na kazi yake. Kama mtu anataka kulipwa vizuri aende shule, na kama ameenda shule kwanini nisimlipe sawa sawa na shule yake.

kama atapewa mkataba wa kudumu basi atakula NSSF na Income tax as well. Tunaweza kuibadiri ajira ya majumbani kuwa ajira rasimi na chanzo cha mapato, kwani hukusikia muheshimiwa alivyosema mwaka jana kuhusu ajila 1,000,000? alizitaja zipi?
 


Tunatafuta Mfanya kazi wa kike. Au Tunatafuta mfanya kazi wa jinsia ya kike..!! Please tuwape heshima yao hawa wafanyakazi..!!
 

I bet you are serious! Hivi kima cha chini sh ngapi kwa sasa?
 
Ataishi kwangu, lakini akimua kuishi kwake haitakuwa tabu lakini kumbuka ni kijijini. Ajira inapatika wilayani Makete

Je nauli ya kuja kupiga interview utatoa kuna binti yule Kisarawe nataka nimlete.
 
Unagopa asije pata promosheni ya kulala chumbani kwa baba???? ha ha ha ha

Hiyo bold ikisomeka kuzaa na baba, you will understand what I mean! Hahaha! Mbogela bana! Stuka!
 
Je nauli ya kuja kupiga interview utatoa kuna binti yule Kisarawe nataka nimlete.
Ni rahisi Interview inaweza kupigwa Dar kwani wapo wataalam wanaoweza kusaidia process ikiwa pamoja na kumtafutia ticket hata kumsindikiza Ubungo bus Terminal
 
Hiyo bold ikisomeka kuzaa na baba, you will understand what I mean! Hahaha! Mbogela bana! Stuka!

Lakini mkuu hata wababa walio oa bado waliwapa hiyo promosheni wafanyakzi wa kike, unakumbuka zile kesi mbili, ya aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa dar (marehemu) na yule afande (nadhani ilithibitishwa mahakamani) inategemea sana na mtu ameamua kujiweka katika mazingira yepi.
 
Sikuwa nafahamu kuwa mtu mwenye elimu ya kiwango cha form IV anakuwa housegirl!

Mhh mie naitamani hiyo kazi ila elimu yangu ni ya juu Bsc. Home economics and human nutrition je nina qualify?
 
Kucounteract hiyo imebidi mwajiri aweke masilahi mazuri kidogo kuliko nafasi za mjini

I thought mwajiri ni wewe. Nilishaanza kukiweka kibarua changu cha sasa rehani! Hahaha!
 
Mhh mie naitamani hiyo kazi ila elimu yangu ni ya juu Bsc. Home economics and human nutrition je nina qualify?
Wewe hatutaweza kukulipa kufuatana na elimu yako, Pia elimu yako haitapata matumizi mazuri. Lakini nina proposal nyingine kwa ajili yako. Tunahitaji mtu mwenye uwezo wa kuandika miradi, kusimamia, kutoa report kwa wafadhiri kwa muda muafaka, kusaidia kuanda bajeti, kuandaa mafunzo kwa waVVU na kufundisha, kusaidia staffing, kuplan Mobile VCT kusimamia HBC na kufanya assesement. Huko huko Kijijini, Mwajiri http://www.piuma-simba.org/site/
 
Mbogela said:
Msichana wa kazi anatafutwa kwa kazi za ndani kijijini kwa mkataba wa miezi Mitatu kwanza kuanzia Dec 15 akifanya vizuri mkataba unaweza kuongezwa.

Sasa Mbogela unantisha kidogo kama mmeshindwa kupata HG hukohuko kijijini inamaanisha mna tatizo.......!
alafu ni wapi? kwa ushauri kama ni kweli kazi hipo rudi hukohuko kijijini katangaze lakin nakusifu! kumlipa hg kima cha chini cha serikali sio mchezo maana "To b honest" kulipa tu 30000 kwa wakati mbinde!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…