Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
SafiKuna mmoja kanifanyia hivi hivi, kaniahdi mtoto wake mdogo aliyenaye akikua basi tutapiga mechi kibao
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Lazima amchape yaani watu Kama hao nawajua vzr huwa Wana confidence na misifa hata Kama mfukoni hawana hata 100.Demu ananiambia awezi rudiana na jamaa, nimejaribu kuongea na dada yake ameniambia demu hamind mchizi. Sema jamaa ni playboy na muongeaji sana, kwa kifupi ni mtu wa misifa.
Mruhusu aende tu kama ana mawasiliano nae had anamsumbua ukimuoa atahamia huko hukoNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
kwasababu yeye amekosa kuwa na msimamo na hana maamuzi, sasa chukua wewe maamuzi na msimamo kuhusu uhusiano unaoutakaOk sawa
Hapo mwishoni ndio umeongea maneno yakuwagusa wengi humuKama alikuwa anakunwa vizur mzee baba kaza kiuno na pia kama waliachana kwa amani tu jiandae kisaikolojia alafu wapenz hawachani huwa wanajificha tu wasionekane na usijue na ukimfuatilia utaumia sana.
We piga kimya tu mwanamke asiekuwa na bikra s wako huo ndio ukweli uliopo.
Ndio maana wazee walishasema mwanamke Bora Ni yule uliemkuta na bikra na ndio maana tukapewa siku ya "honeymoon"
Naona same story inanitokea now yani Kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ulijuaje Wanawasiliana?
Unanikumbusha mwaka fulani nilikuwa na binti mmoja. Binti huyo alikuwa ananipenda kupitiliza. Alikuwa yupo tayari kunipa chochote ili mradi tuu nimpende.
Kasoro kubwa aliyokuwa nayo ni suala la umri. Yeye alikuwa mkubwa kwangu kwa miaka miwili. Ukweli ni kuwa mimi sikuwa nampenda.
Binti tukaishi ndani ya chumba kimoja kwa miezi nane tukipika na kupakua. Kiukweli nilihisi kuanza kumpenda.
Binti akaanza drama akasahau mimi ni JokaJeusi nyani mzee.
Siku moja tumekaa akanambia X wake anamsumbua. Akanionyesha SMS za huyo mshikaji ambaye aliponionyesha picha yake nikakumbuka alikuwa Waziri wa Mikopo Pale Udsm mimi nikiwa mwaka wa kwanza.
Wivu ukaanza kuniandama. Mapenzi yakazidi kwa yule manzi. Wazo la kutaka kumuoa likapata nguvu. Manzi akaniambia nijitokeze kwao. Kuhusu Mahari nisijali atajitolea.
Roho ya tamaa ikaniingia. Tamaa ya mali. Manzi ananyumba ya urithi na kigari kidogo. Mimi ndio nilikuwa nimemaliza chuo. Kazi sina pesa sina. Tamaa ikazidi.
Dogo akawa anapigiwa na X wake. Nilichogundua ni kuwa hakuwa na uwezo wa kumtukana wala kumkataza kwa kauli thabiti huyo X wake.
Nilipomueleza akanambia hawezi fanya hivyo kwa kuwa hana uhakika na mimi. Akasema walau ningejitokeza kwao.
Hapo ndipo nilipojua kuna Game inachezwa. JokaJeusi akili zikanirudia.
Nikajua hapa huyu Manzi ananifanyia drama ili nimuoe kwa haraka.
Nilipokuja kuchunguza kwa umakini nikagundua kuwa zilikuwa hila za huyu mwanamke kunifanya niharakishe ndoa ili lengo lake litimie.
Nikajua ningezubaa ningepigwa.
Kumbe walipatana kunitia kihoro ili nipate presha ya kumuoa.
Chunga sana mkuu kwenye ishu kama hizo.
Ningekuwa Mimi ningeahirisha hiyo ndoa mpaka mambo yakae poa
Hapo lazima akamatike tu, ni kiasi cha dem dem wako kumpa nafasi ya kusikiliza sound za jamaaaDemu ananiambia awezi rudiana na jamaa, nimejaribu kuongea na dada yake ameniambia demu hamind mchizi. Sema jamaa ni playboy na muongeaji sana, kwa kifupi ni mtu wa misifa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Yaani akimpa masikio tu kumsikiliza ameliwa.Hapo lazima akamatike tu, ni kiasi cha dem dem wako kumpa nafasi ya kusikiliza sound za jamaaa
Mpige dole lakati huyo X wakeNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Hii ni muendelezo wa hili kaburiYupi wa kuoa?
Nahitaji mtu mwenye hekima na busara kunipa ushauri katika hili. Ninaishi na msichana ambaye apendwi na ndugu zangu kwa kuwa yeye pia ajali ndugu zangu, Kunakipindi nilikuwa masomoni maeneo ambayo pia ndugu zangu wanaishi, Nilikuwa na kabinti ambacho nilikuwa natoka naye kimapenzi, binti huyu...www.jamiiforums.com
Wazee wa kufukua makaburi
Ni yupi Kati ya wale wawili?
Naona bado ananihitaji mimi na amefanya vile kuniambia juu ya usumbufu wa uyu jamaa ili ni mwone mwema.kwasababu yeye amekosa kuwa na msimamo na hana maamuzi, sasa chukua wewe maamuzi na msimamo kuhusu uhusiano unaoutaka
Cheka kidogo nione wako mwanyaNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
π€£π€£π€£π€£π basi unajiona mjanja sana hapo.Mkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...
Makubaliano ya mkataba wetu.
Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.
Take care mkuu
Mi nashangaaga hawa ma X ni vipi wanakuwa na nguvu kama hawawi entertained na wapenzi wetu.Wa kulimaliza tatizo ni msichana wako, awe na msimamo! Amwambie x wake anaolewa, ana mchumba! Kwani atamlazimisha?!