Msichokijua kuhusu kashfa ya Tegeta Escrow Account

Msichokijua kuhusu kashfa ya Tegeta Escrow Account

Sophist

Platinum Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
4,486
Reaction score
3,408
  • PAP ni mbadala wa Dowans
  • Singh Sethi ni mbadala wa Rostam Aziz (wakala)
  • Wizi wa pesa ya Tegeta Escrow account ni mbadala wa wizi wa pesa za EPA account
  • Kama ilivyokuwa mwaka 2005, mkakati wa sasa unalenga kufanikisha pesa za uchaguzi, 2015
  • Kama ilivyokuwa 2005, wizi wa pesa za Tegeta Escrow umebarikiwa na uongozi wa juu kabisa wa Serikali
  • Hakuna actual transfer of title ya shares za IPTL kwenda PAP iliyofanyika, bali kilichofanyika ni kukamilisha mkakati wa kuhamisha pesa kutoka akaunti ya Escrow kwenda kwa wasimamizi wa Project Mizengo 2015
  • Harbinder Singh Sethi hajaweka hata senti moja kununua IPTL ila angezawadiwa baada ya Project Urais 2015 kufanikiwa. Angelipwa pesa za mauzo ya hisa za IPTL baada ya kuuzwa kwa mwekezaji mwingine 2016.
 
Yote hayo tunajua lakini ni nani wa kumfunga paka kengele?

Tulitegemea sana mhimili wa bunge kumbe ni walewale pamoja na kuwachagua sisi!

Sasa kilichobakia ni sisi wananchi tubebe maamuzi magumu ya kubadilisha mfumo mzima wa kuendesha nchi hii iwe kwa amani au kwa shari.
 
Mtumbua majipu anaandaa zana za kutumbua maana hili ni kubwa anahofia lisije chafua watu!ha ha ha ha
 
Jpm atagusa Escrow,,tusubir

Mhe Rais Magufuli, nakukumbusha kuwa kuna maazimio ya bunge ambayo hayajatekelezwa kuhusu kashfa ya escrow. Nayo ni haya yafutayo:

1.Kushitakiwa kwa Harbinder Singh Sethi kwa utapeli.
2. Kutaifishwa kwa mitambo ya IPTL kwa kuwa mauzo yalifanyika kwa kampuni hewa(isiyosajiliwa nchini) Pan Paper.
3. Fedha zote za escrow account zirudishwe na wahusika wote wafunguliwe mashtaka ya jinai na watumishi wote wa umma (pamoja na majaji) waliolipwa wachukuliwe hatua za kinIdhamu. Ni wakati muafaka wa kutumbua hili jipu pia.
 
Mhe Rais Magufuli, nakukumbusha kuwa kuna maazimio ya bunge ambayo hayajatekelezwa kuhusu kashfa ya escrow. Nayo ni haya yafutayo:

1.Kushitakiwa kwa Harbinder Singh Sethi kwa utapeli.
2. Kutaifishwa kwa mitambo ya IPTL kwa kuwa mauzo yalifanyika kwa kampuni hewa(isiyosajiliwa nchini) Pan Paper.
3. Fedha zote za escrow account zirudishwe na wahusika wote wafunguliwe mashtaka ya jinai na watumishi wote wa umma (pamoja na majaji) waliolipwa wachukuliwe hatua za kinIdhamu. Ni wakati muafaka wa kutumbua hili jipu pia.

Na wakupiga kelele ni sisi tukikaa kimya imekula kwetu! Wawakilishi wetu (Wabunge) tunawategemea sana katika hili jambo.
 
Back
Top Bottom