Msidanganyike Uwoya C saa sita, maelezo hapa

Chuchu analyst.
 
Huyu angetulia kwenye ndoa yake angezidi kuwa mzuri na wa kuheshimika zaidi.
 
Ya leo kaliii ya leo kaliii X2
Ya leo kali kijana mentali
Njoo tutafakari tupige mistarji eh

Dah Pfunk alipiga bonge la beat nature akaua hasa bridge kweli mziki wa zamani mkali.
Hivi ulikuwa wasema uwoya kawaje eti??



Mkuu umenikumbusha mbali sana ... huu wimbo wa juma nature ulikuwa unaitwaje niutafute ?
 
jamaa haya maelezo yote niyanini ?

kwani nani kakuuliza we jamaa vipi ? au ni 1/4
 
Mimi siku zote nilijua ni wimbo wa nature ... shukrani sana mkuu nimeupata
Nature yumo si alikuwa kundi la wachuja nafaka kabla ya wanaume tmk kutengenezwa.
Hilo wachuja nafaka alikuwa nature, KR, Doro..
So ni wimbo wa wachuha nafaka nature kailba bridge chorus na verse ya mwisho mkuu
 
kama ni chuchu zake zipo hivyo hadi nimemtamani napenda sana dizaini hiyo..uwoya upo vizuri!!
 
Vipi chuchu za LadyDee, saa mbili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…