Leo sijui nimeamkaje ila mnivumilie tu..
Huu ni Uzi maalum wa kusifia uzuri wa wanawake (kwa mwanaume na wanawake) na uzuri/u handsome au utanashati wa wanaume (KWA WANAWAKE TU)
Nikianza Mimi hapa....nipo napata chakula mitaa Fulani sasa hapa jirani pembeni yangu kuna demu ni mzuri balaa. Amesuka rasta, umbo la wastani, maji ya kunde, amevaa gauni fupi la damu yavmzee....daaaah kweli mungu kaumba.....
Wewe jeee
Huu ni Uzi maalum wa kusifia uzuri wa wanawake (kwa mwanaume na wanawake) na uzuri/u handsome au utanashati wa wanaume (KWA WANAWAKE TU)
Nikianza Mimi hapa....nipo napata chakula mitaa Fulani sasa hapa jirani pembeni yangu kuna demu ni mzuri balaa. Amesuka rasta, umbo la wastani, maji ya kunde, amevaa gauni fupi la damu yavmzee....daaaah kweli mungu kaumba.....
Wewe jeee