Msigwa aingizwe kwenye kamati ya maridhiano aiwakilishe CCM kuridhiana na CHADEMA

Msigwa aingizwe kwenye kamati ya maridhiano aiwakilishe CCM kuridhiana na CHADEMA

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Mh Tundu Lissu amekuwa akinyooshea kidole kitendo cha Mwenyekiti wake kushiriki katika maridhiano na CCM. Amekuwa akisema kuwa CCM hawaaminiki.

Kwakuwa Lissu anakiri kuwa anamwamini Mchungaji Msigwa na ndiye aliyeshika chupa ya damu toka Dodoma hadi Nairobi, basi CCM impe jukumu mchungaji Msigwa la kwenda kuridhiana na Mwenyekiti ili Tundu Lissu nayeye aamini suala la maridhiano.

My take: Siasa ni sanaa. Tuamke.
 
Siku hizi wanasiasa na wao wamegeuka machawa....ingawa si dhambi kuamini unachokiamini lakini kuna issues haziwi planned vizuri kufunika issues ili kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom