Tetesi: Msigwa ajiandaa kuondoka CCM ikiwa safari hii mkeka wa mama hautamkumbuka?

Tetesi: Msigwa ajiandaa kuondoka CCM ikiwa safari hii mkeka wa mama hautamkumbuka?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Wakati wowote ndani ya wiki chache zijazo huenda mchungaji Peter Msigwa akaamua kuondoka CCM na kurejea Chadema, ambapo rafiki yake mkubwa Lissu akitegemewa kuchukua kiti cha uenyekiti wa Chadema.

Tayari kuna tetesi zinasema Msigwa ameweka masharti ya kuendelea kubakia CCM kwa kupewa nafasi ya kisiasa (kama ukuu wa wilaya) na kulipwa haki zake zote za kuitumikia CCM katika kuibomoa CHADEMA.

Je, mchungaji atatema bungo?

Muda utasema yote.
 
Wakati wowote ndani ya wiki chache zijazo huenda mchungaji Peter Msigwa akaamua kuondoka CCM na kurejea Chadema, ambapo rafiki yake mkubwa Lissu akitegemewa kuchukua kiti cha uenyekiti wa Chadema.

Tayari kuna tetesi zinasema Msigwa ameweka masharti ya kuendelea kubakia CCM kwa kupewa nafasi ya kisiasa (kama ukuu wa wilaya) na kulipwa haki zake zote za kuitumikia CCM katika kuibomoa CHADEMA.

Je, mchungaji atatema bungo?

Muda utasema yote.
Ataenda wapi tena
 
CDM kasahau nini? avumikie huko huko ndoa si kaitaka mwenyewe kulala na nguo kunatoka wapi tena?
 
Ila Msigwa alipata maono, alijiuza CCM kwa dau kubwa ili kuibomoa CDM. Kumbe CDM imeoza inajifia yenyewe.
 
Back
Top Bottom