The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa ametoa Ufafanuzi Taarifa ya CAF Kuufungia Uwanja wa Mkapa, Kuhusu Derby Asema Waulizeni TFF ambapo amesema ukaguzi ulipokuwa ukifanyika nyasi zilikuwa zimekatwa mpaka chini hivyo kupelekea kuchimbika baada ya mechi ya Simba SC dhidi ya Azam FC.
Hata hivyo amesema uwanja huo upo vizuri ni vema wakaguzi wakarudi tena kwani tangazo la ukaguzi limetolewa baada ya wiki tatu tangu ukaguzi ufanyike.
Hata hivyo amesema uwanja huo upo vizuri ni vema wakaguzi wakarudi tena kwani tangazo la ukaguzi limetolewa baada ya wiki tatu tangu ukaguzi ufanyike.
- Pia soma: Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia uwanja wa Benjamin Mkapa
- Video: Hali ilivyo uwanja wa Mkapa kuelekea mechi ya Yanga na Simba, mashabiki wanasuasua kuingia uwanjani