johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu wa Wizara ya Sanaa amewataka Wasanii nchini kufanya mambo makubwa kama Filamu ya Royal Tour inavyoitangaza Tanzania duniani Kote
Aidha Msigwa amesema wimbo wa Diamond uitwao Kamasova unafanya vizuri sana duniani kote
Msigwa amewataka Wasanii nchini kuwaiga Diamond na Kanumba katika kufanya mambo makubwa na wasijisahau kulipa Mikopo ya mabenki wanayodaiwa Ili na wengine wafaidike na kuaminika na Benki zetu
Source: Mwananchi
Jumaa Mubarak 😃😃
Aidha Msigwa amesema wimbo wa Diamond uitwao Kamasova unafanya vizuri sana duniani kote
Msigwa amewataka Wasanii nchini kuwaiga Diamond na Kanumba katika kufanya mambo makubwa na wasijisahau kulipa Mikopo ya mabenki wanayodaiwa Ili na wengine wafaidike na kuaminika na Benki zetu
Source: Mwananchi
Jumaa Mubarak 😃😃