#COVID19 Msiingize uchama kwenye suala la chanjo, chanjo si mali ya chama

#COVID19 Msiingize uchama kwenye suala la chanjo, chanjo si mali ya chama

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Jamani chondechonde msiingize swala la chanjo kwenye uvyama chanjo sio mali ya chama.

Waelimisheni watanzania wote vile ambavyo wewe unaelewa kuhusu chanjo.

Mtu akizungumza jambo tusikurupuke kuanza kuliingiza kwenye mambo ya chama hapo tunakua hatutumii akili zetu sawa sawa.

Ukiona mtu kazungumza jambo na kutoa hoja zake utaratibu mzuri ni kujitokeza hadharani na kupangua hoja zake na sii kuanza kutishiana mara mfukuze hafai.

Zungumza hoja mbili tatu ili kupangua hoja za mwingine hiyo ndio demokrasia.

Haina haja ya kubishana.
 
Kauli za CCM ni Amri hata kama jambo lipo nje ya mfumo was chama
 
Jamani chondechonde msiingize swala la chanjo kwenye uvyama chanjo sio mali ya chama.

Waelimisheni watanzania wote vile ambavyo wewe unaelewa kuhusu chanjo.

Mtu akizungumza jambo tusikurupuke kuanza kuliingiza kwenye mambo ya chama hapo tunakua hatutumii akili zetu sawa sawa.

Ukiona mtu kazungumza jambo na kutoa hoja zake utaratibu mzuri ni kujitokeza hadharani na kupangua hoja zake na sii kuanza kutishiana mara mfukuze hafai.

Zungumza hoja mbili tatu ili kupangua hoja za mwingine hiyo ndio demokrasia.

Haina haja ya kubishana.
Wagombea Ubunge toka Chama Cha Kijani katika Uchaguzi wa 2020 ndo wahamasishaji wa chanjo
 
Back
Top Bottom