1. UDSM hamna kitu hapo.UDSM hamna kitu hapo.
Anzeni kwanza na hata usafi wa mazingira yenu tu.
Vyoo vyenu vinanuka sana. Mabweni yenu hususan yale maghorofa ipo siku yataleta majanga.
If I were a student there, out of an abundance of caution, I'd not even think of going inside them let alone living in them.
UDSM hamna kitu hapo.
Anzeni kwanza na hata usafi wa mazingira yenu tu.
Vyoo vyenu vinanuka sana. Mabweni yenu hususan yale maghorofa ipo siku yataleta majanga.
If I were a student there, out of an abundance of caution, I'd not even think of going inside them let alone living in them.
Hapana. Kuna kitu tena kikubwa mno zaidi ya unavyoweza kudhani, sema wewe hujui, na hujui kama hujui
Mazingira ni safi, nadhani beyond comparison
Hapa nakubaliana na wewe 100%, achilia mbali swala la hivyo vyoo vinavyolalamikiwa, haya maghorofa mawili Halls 5&2 wanafunzi wanabebana na hivyo kuya-overload, carrying capacity yake inakuwa doubled au hata kuwa tripled. Uongozi wa chuo kama hauwezi kuhakikisha swala hili linashughulikiwa tafadhali tunaomba serikali iingilie kati. Haya maghorofa yatakuja kuleta majanga ambayo lazima yatachukua record ya ki-ulimwengu. hili swala lisiposhughulikiwa kuna kitu kitakuja kutokea siku moja, mtaniambia!
acha kujisimesha pumba we si ndio ulijaza udsm mara tatu ili iwe first priority yako kwa kua huna vigezo una points mbya umekosa umepelekwa chuo cha kata afu sasa ivi unajisemesha acha kua kama dada wewe
Are you out of your meds or something?
sasa mimi na wewe nani mjinga automatically we ni nyani kabisa mtu gan sasa anaitwa nyani hahaha nyani wewe
Mjinga ni wewe unayejibizana na nyani.
yaishe nyani
Kumeibuka posts nyingi za kuichafua udsm kwa fujo sana.
unaposemea wataalamu wengine unamaanisha nini??? je unamaanisha wanatokea ud?? kwani hamna wataaalamu wanaotokea vyuo vingine na wengine wapo hapo ud wanakufundisha???ikumbukwe kua hata hao wataalamu wavingine ni mazalia ya udsm
Nihame mim au??hama jf