Msikie Harmonize akiongea kiingereza! Ali Kiba ndo kashafunikwa tayari hivyo

Traveller X

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2017
Posts
271
Reaction score
305
Kweli pesa inambadilisha mtu, harmonize huyu huyu ambae alikua hajui hata kusema "thank you" leo anabonga ungeli kama hana akili nzuri, hofu yangu ni je alikiba tayari amesha weza na yeye?? maana last time kumuona akihojiwa kwa kiingereza ilikua ni aibu kwa taifa:
 
Nilidhani ni hamorapa
 
Kuongea au kutoongea kiingereza kinakusaidia nini?
 
jamaa sauti anayosikika akiimba haiendani kabisa na inayoskika kwenye hii clip, sauti km hii niliiskia Mara ya mwisho jamaa angu alivoambiwa aombee chakula kwenye kikao, Kwa jinsi nnavomuaminiaga kwenye kelele za kubishana mambo ya arsenal siku ile aliniangusha kinoma hata Tanzania sweet heart haongeagi sauti ya kinyonge vile, all in all hongera harmo kutoka ntwara mpk kutema ung'eng'e ni balaa
 
kuna jamaa mtaani anakwambia akipata kazi WCB hata ya mpiga kiwi wa WCB anaacha kazi serikalini
 
Nimesikia MIKELELE YA MUZIKI tu sikusikia hata neno moja la hao wanaohojiana. Mfyuuuuu....
 
Hivi kwa Ras Simba mpaka unajua kuongea kama Wema Sepetu shing ngapi?
 



yaan jaama itakua mshabiki wa harmonize
 
Mi najua kiingereza mara mia zaidi ya King Kiba,Diamond na huyo tu harmonize lkn hapa nilipo sijala na najiuliza ntamwingia vp Mangi anikopesha japo unga robo na mayai mawili coz ananidai 2700 wiki ya 3 hii sijaweza kurudisha hata mia

Sasa sijui Kiba mpk saa hizi nae hajala kama mimi....???? [emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…