Msikie Joseph Kabila na kiswahili chake!

Msikie Joseph Kabila na kiswahili chake!

Hapana, si kwamba hajui Kiswahili, inabidi aongee hivyo ili aendane na hao anaowahutubia. Kwa taarifa yako kiswahili ndio lugha anayoijua J. Kabila vizuri zaidi kuliko lugha zote, ikifuatia English. Hakujua French na Lingala kwa ufasaha alipoingia madarakani, so ikabidi aanze kujifunza.
 
msikie hapa,utaona anongea tofauti kidogo na pale juu...
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa..kukaa kote msasani bado kiswahili kina mpiga chenga?
Akiongea kiswahili cha bongo hawatamuelewa, hapo sasa ndio sawa kabisa, kama huamini nenda Kisangani utashangaa lugha wanayoongea na watakwambia ni kiswahili.. lakini wewe hutaelewa chochote.
 
Hapana, si kwamba hajui Kiswahili, inabidi aongee hivyo ili aendane na hao anaowahutubia. Kwa taarifa yako kiswahili ndio lugha anayoijua J. Kabila vizuri zaidi kuliko lugha zote, ikifuatia English. Hakujua French na Lingala kwa ufasaha alipoingia madarakani, so ikabidi aanze kujifunza.


Nimependa sana hiyo signature yako
 
Akiongea kiswahili cha bongo hawatamuelewa, hapo sasa ndio sawa kabisa, kama huamini nenda Kisangani utashangaa lugha inaongelewa na watakwambia ni kiswahili.. lakini wewe hutaelewa chochote.
Ni ukweli kabasa kwa mfano ukitaka kusema maendeleo kule kongo inabidi useme developaa
 
Hapana, si kwamba hajui Kiswahili, inabidi aongee hivyo ili aendane na hao anaowahutubia. Kwa taarifa yako kiswahili ndio lugha anayoijua J. Kabila vizuri zaidi kuliko lugha zote, ikifuatia English. Hakujua French na Lingala kwa ufasaha alipoingia madarakani, so ikabidi aanze kujifunza.

Nakubaliana na wewe kabisa, pamoja anaigiza kiswahili cha kicongo, lakini phonetic yake ni pure ya kitanzania.
 
anachanganya kiswahili na kifaransa unaweza kuelewa vizuri kama unajua kifaransa kiufupi facilement=rebuilt bientot=soon, Développement=development, numero trois=number 3, vingt huit Novembre=November 28, avant=before, mais=but, deux milliers deuze=2012, quatre-vingt cent=180, candidat=candidate, campagne électorale=electoral campaign, deux milliers six=2006, promesse=promise, Nord=North, ville=city, modern=modern, voiture=car, moto (kiswahili cha kivu)=train, deux milliers onze=2016!
 
anachanganya kiswahili na kifaransa unaweza kuelewa vizuri kama unajua kifaransa kiufupi facilement=rebuilt bientot=soon, Développement=development, numero trois=number 3, vingt huit Novembre=November 28, avant=before, mais=but, deux milliers deuze=2012, quatre-vingt cent=180, candidat=candidate, campagne électorale=electoral campaign, deux milliers six=2006, promesse=promise, Nord=North, ville=city, modern=modern, voiture=car, moto (kiswahili cha kivu)=train, deux milliers onze=2016!

Du kweli jf ni kisima cha kila kitu mpaka wafaransa tunao,safi sana.Lakini nikichangia kwenye mada kuu ni kwamba anachokifanya bwana Rais Joseph kabila wa kabange watoto wa mjini dar es salaama wanaita "kujichanganya",yani kila jimbo analotemnelea huko congo anajichanganya na watu wa pale kwa kuongea kama wao,ndio maana mnaona hata kiswahili alichoongea kisangani ni tofauti kidogo na alichoongea nord kivu(north kivu)na pia ukimuona anaongea na watu wa lubumbashi pia ataongea kiswahili cha lubumbashi,hata akija dar ataongea kiswahili cha watu wa dar yani watz.
 
Jamaa anajua kiswahili vizuri sana. Nadhani hapo yupo Kisangani ama Lubumbashi ambapo kiswahili chao huchanganya lingala, kiswahili na kifaransa na kupata lugha inayokaribia kiswahili ambayo wao huiita kiswahili. Ilibidi aongee hivuo ili kufikisha ujumbe. Kajamaa kananena Kifaransa, Kiswahili, Kiingereza na Lingala.
 
Hapana, si kwamba hajui Kiswahili, inabidi aongee hivyo ili aendane na hao anaowahutubia. Kwa taarifa yako kiswahili ndio lugha anayoijua J. Kabila vizuri zaidi kuliko lugha zote, ikifuatia English. Hakujua French na Lingala kwa ufasaha alipoingia madarakani, so ikabidi aanze kujifunza.

Bwana SINKALA uraia wako inabidi uchunguzwe japo unaongea kiswahili cha kuandika kwa ufasaha,wewe ni mzambia,japo utajifanya mtu wa mbozi..hongera kwa mafanikio katika soka la africa
 
Bwana SINKALA uraia wako inabidi uchunguzwe japo unaongea kiswahili cha kuandika kwa ufasaha,wewe ni mzambia,japo utajifanya mtu wa mbozi..hongera kwa mafanikio katika soka la africa

Kwa kweli ndugu hiyo ID yako haistahili kabisa,tafadhali fikiria kwa busara na heshima,KIFILIO??!! KIFILIO???!!!! Ippo mtu atakua na ID ya MAKU kama mods mnaangalia tu!
 
Kwa kweli ndugu hiyo ID yako haistahili kabisa,tafadhali fikiria kwa busara na heshima,KIFILIO??!! KIFILIO???!!!! Ippo mtu atakua na ID ya MAKU kama mods mnaangalia tu!
mdau usije kupigwa ban bure kifilio ni kiswahili safi kabisa cha neno sharpener kwa maana ya kichongeo watu wa bara wanavyoita,lakini kiswahili chake kwenye kamusi ni kifilio sio kichongeo!
 
Hicho sio kiswahili cha Kabila, hicho Kiswahili cha Kisangani.
 
Jamaa anajua kiswahili vizuri sana. Nadhani hapo yupo Kisangani ama Lubumbashi ambapo kiswahili chao huchanganya lingala, kiswahili na kifaransa na kupata lugha inayokaribia kiswahili ambayo wao huiita kiswahili. Ilibidi aongee hivuo ili kufikisha ujumbe. Kajamaa kananena Kifaransa, Kiswahili, Kiingereza na Lingala.
Kwn google imewekwa ajil gan!
 
Back
Top Bottom