Msikie Kenyatta tena, amekuwa haishi vituko

Simpendi Raila kwa kuwa na mahusiano na mtu yule. Sasa tunafanyaje, Kennyta ameshakuwa hovyo kabisa. Wakenya wakataeni wote mpe mwingine yeyote, hata "mbwa" anaweza akawa bora kuliko hao wawili
Ingekuwa vzri mno mkuu, ila kuwatoa hao watu kwenye system ni ngumu
 
Hiyo ndo sura yake harisi ...ile ya mwanzo ilikuwa ni emotional.
 
Usiohope kenyatta n mwana diplomasia anaongea lugha y kidiplomasia. Anamtisha 2 raila c mambo y kampen hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…