Msikie Spika Tulia aikimba ila kwa anavyo onekana, Bora hata ya Ndugai!

Msikie Spika Tulia aikimba ila kwa anavyo onekana, Bora hata ya Ndugai!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Jua maisha ni mlima eeh,maisha ni mlima,

Kuna kupanda na kushuka eeh,
Kupanda na kushuka, kuteleza siyo kuanguka eeh,

Hiyo hapo juu ni chorus ya wimbo kutoka kwa kinywa cha spika wenu wa bunge, sijui makusudi yake ila kwa anavyo onekana ni tumekosa spika mwenye kujiheshimu hana hadhi kwetu!.

Bora hata wewe Ndugai narudia; Kwa heshima na taadhima, Job Ndugai naomba unisamehe!

Kuna madudu yako ulifanya Ndugai ila hukuwahi kutumia mitandao ya kijamii kukejeli au kuimba taarabu za kimajivuno.


Ukweli tumeachiwa jau, najua unasoma hii dada yangu Calm_down, hapa umechemka huna hadhi tena ya kuitwa spika.

Bahati mbaya sana mfumo na katiba vinakubeba vinginevyo you're nothing.

Siku inakuja japo ni kauli ya kujipa moyo, -Nakuja.
 
Pole kwa machingu.

Nyie toaneni hizo ngeu.

Ila, mie nasema .... Ndugai for President.
 
Jua maisha ni mlima eeh,maisha ni mlima,

Kuna kupanda na kushuka eeh,
Kupanda na kushuka, kuteleza siyo kuanguka eeh,

Hiyo hapo juu ni chorus ya wimbo kutoka kwa kinywa cha spika wenu wa bunge, sijui makusudi yake ila kwa anavyo onekana ni tumekosa spika mwenye kujiheshimu hana hadhi kwetu!.

Bora hata wewe Ndugai narudia; Kwa heshima na taadhima, Job Ndugai naomba unisamehe!

Kuna madudu yako ulifanya ndg ndugai ila hukuwahi kutumia mitandao ya kijamii kukejeli au kuimba taarabu za kimajivuno.

Ukweli tumeachiwa jau, najua unasoma hii dada yangu Calm_down, hapa umechemka huna hadhi tena ya kuitwa spika.

Bahati mbaya sana mfumo na katiba vinakubeba vinginevyo you're nothing.

Siku inakuja japo ni kauli ya kujipa moyo, -Nakuja.
Ana stress 50 hiyooo anajazaa vyooo tuu.....plus anatumika tu hana ajualooo......ana stress
 
Dr. Tulia hata kama ndio usomi mwingi lakini sio kwa miwani hiyo!
 
Jua maisha ni mlima eeh,maisha ni mlima,

Kuna kupanda na kushuka eeh,
Kupanda na kushuka, kuteleza siyo kuanguka eeh,

Hiyo hapo juu ni chorus ya wimbo kutoka kwa kinywa cha spika wenu wa bunge, sijui makusudi yake ila kwa anavyo onekana ni tumekosa spika mwenye kujiheshimu hana hadhi kwetu!.

Bora hata wewe Ndugai narudia; Kwa heshima na taadhima, Job Ndugai naomba unisamehe!

Kuna madudu yako ulifanya Ndugai ila hukuwahi kutumia mitandao ya kijamii kukejeli au kuimba taarabu za kimajivuno.


Ukweli tumeachiwa jau, najua unasoma hii dada yangu Calm_down, hapa umechemka huna hadhi tena ya kuitwa spika.

Bahati mbaya sana mfumo na katiba vinakubeba vinginevyo you're nothing.

Siku inakuja japo ni kauli ya kujipa moyo, -Nakuja.
Teh teh 😃 😃 😃 don't be too serious..
 
Teh teh 😃 😃 😃 don't be too serious..
Sawa mkuu, maana hata kuke Moshi tumeambiwa kifo kipo tu and mtu yeyote anaweza kufa, hivyo tusiwe makini sana 🙃!.
 
Nimekuwa nakuraumu wewe Moderator na Mhariri mnaokuwepo zamu na huwa nakuwa na sababu, sasa angalieni heading yenu sijui mmeandika kitu gani hapo 🙃?.
 
Back
Top Bottom