Msikilize Godbless Lema na suala zima la Ngorongoro na uhifadhi kwa ujumla. Nchi ina viongozi wajinga sana

Msikilize Godbless Lema na suala zima la Ngorongoro na uhifadhi kwa ujumla. Nchi ina viongozi wajinga sana

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hii nchi tuko hapa tulipo kwa kukosa maono, nchi inaendeshwa kihuni sana.
Ukiangalia swala la Ngorongoro ni uhini mtupu pale.

Unawafukuza wamasai wenye nyumba za majani unaruhus7 wawekezaji kujenga Mahoteli ya gorofa pale.

 
Back
Top Bottom