Kikeke amemuita jamaa Mwanangu.Alie isikia anisimulie mm naogopa bundle langu la jero[emoji848]
Ameomba kazi bbcAlie isikia anisimulie mm naogopa bundle langu la jero[emoji848]
Wee Bibi unaziheka vibaya [emoji848]
Hakika kwa maelezo aliyoyatoa Harmonize ni wazi ameshindwa kuondoka WCB na mimi nasema wazi Harmonize ameshindwa kuondoka kabisa WCB
Naona alifanya haraka sana kutaka kujitoa WCB ndio maana hana majibu kabisa na limekuwa swali baya sana kwake na linamtesa!
Alitakiwa kujipanga kwanza kabla ya kuomba kujitoa WCB.....
[emoji38][emoji38] weeeAmeomba kazi bbc
Sasa mtu ameomba tumwambie sisi tulioangalia[emoji38][emoji38] weee
Tuletee summary
Hahaahaha...Alie isikia anisimulie mm naogopa bundle langu la jero[emoji848]
Baba Swalehe kasema eti amesema anaomba kazi bbc,Kwahiyo mpaka sasa hamna aliyeangalia jamani tujue kilichozungumzwa