Msikilize JB akizungumzia Mgomo wao

Mkuu muvi zao zingekua nzuri hata zingeuzwa milioni tungenunua tu. Wasichokijua ni kwamba walisahau fani yao baada ya kupata umaarufu na kuanza kuzunguka na mapedeshee na wanasiasa, sasa safari hii hali ngumu wanataka kurudi kwa fani yao its too late
 
aache upumbavu wake kama Bashite.

Chinga atampata wapi Eddie Murphy ili wasaini mkataba wa kuuza kazi zake pale kariakoo??
Wanataka wamfanye tu chinga ashindwe kuuza upuuzi mtupu, wao wajiangalie kiukweli kabisa wamejikwaa wapi
 
JB afunguka aeleza sababu ya mgomo sio kufungia Movie za nje, bali ni kutaka walipe vibali na kodi kama wao. Akiri kwambamovi za njeni bora kuliko zao. afananisha movie hizo mbili na bia ya safari na Heinken.

AMEONGE FACTS ..... TATIZO LAO WAMEONGOZANA NA BASHITE ..... HAPA HAWATOBOI HATA KIDOGO.
 
JB afunguka aeleza sababu ya mgomo sio kufungia Movie za nje, bali ni kutaka walipe vibali na kodi kama wao. Akiri kwambamovi za njeni bora kuliko zao. afananisha movie hizo mbili na bia ya safari na Heinken.
Si wangeenda TRA sasa kwa bashite walifuata nini?
 
aache upumbavu wake kama Bashite.

Chinga atampata wapi Eddie Murphy ili wasaini mkataba wa kuuza kazi zake pale kariakoo??
Na hawa Bongo Movie nao huwa wanatumia Sound tracks za nyimbo za wasanii wa nje...itabidi RC awaambie Bongo Movie nao wasaini mikataba na wenye nyimbo zao na wawalipe ili wapate haki ya kuzitumiaπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
BADO HAWAJAJUA TU, SUALA SIO UBORA! TATIZO NI ILE MIGUAO YAO YA KIJANI!
JB has a point, ila ........laiti wangejua kujiingiza kwao ktk siasa za Lumumba kumeleta madhara gani ktk saikolojia ya Watanzania waliokuwa wakizifuatilia movie zao " wasingepiga haya makelele. Hii ni point of no return, ningeshauri watafute shughuli nyingine ya kufanya kwani Bongo movie haiwezi kurudi tena Tanzania, ' kujaribu kulazimisha km wanavyofanya sasa ni kupoteza muda na vijicent vilivyobakia.
 
Wao kujiunga na CCM ndio kuna waua
Wangekaa kimya na siasa
 
Good intetion but wrong step sasa hapo si ungeongea na watunga sera wapunguze milolongo ya sheria ulimwengu tunaoishi ni 4g hivyo kuzuia akina chakori wasiuze au kutazamwa mtachelewa sana kwani bongo flavour wametoboa vp. Kawaulizeni akina king kiba, wcb na wengine wawaambie walitokaje halafu jb na ray mjiangalie sana mlipotea wapi bse mlikuwa level moja na marehemu tena wakati mwingine mkimpa tabu kweli kwenye ushindani leo imekuwaje mmepotea njia? The only solution is to faight 4wrd na siyo kulalamika
 
Kwenye hilo nimemuelewa kabisa. . .
Uwepo utaratibu mzuri wasoko la.movie ili waweze "kucompete"
Mkuu nadhani umewapa hadhi kusema ili wacompete..... Tunapaswa kuwaambia ukweli bongo movie hata film za abroad ikiiuzwa elfu 20000 itapata wateja. Cha kufanya kwao

1. Waende kusoma sanaa kwa mapana ili warekebishe masuala ya kumchukua actress kisa ana msambwandaa
2. Filamu iwe na uhalisia wa maisha,kama familia local iwe hivyo,sio familia local halafu nje kuna Range imepark. Asante
 
Mimi kama mtaalamu wa marketing nasema"Uzuri wa bidhaa au Huduma upon machoni pa mtumiaji"Bongo Movie nawashauri watafute mitaji mikubwa itakayowawezesha ku-hire washauri elekezi wa kimataifa(Film Consultants) ili watengeneze filamu zenye ubora.Watu hawanunui filamu wananunua faida/manufaa ya filamu.Sasa tuache kuangalia filamu za kina Jet Li tununue filamu zenu ambazo jambazi anavamia nyumba Yuki peku!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana eti wale watu kiboko mpaka kutafsiri wabatafsiri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
 
Kwa kweli wacha waisome namba na wao pesa za kampeni zimeisha za move zimekata hahahahaha
 
Huyo naye nunda hivi unawezaje kugoma kufanya mtihani kisa tu jamaa anaekushinda huwa asomi sana kama Ww? Asee hii bado Bongo movie

Bongo muvi bongo lalaaa bongo Muziki
 
1) wawe na uhalisia. Inashamgaza Hemedi anaishi maisha ya tabu kijijini ila kichwani ana wave na maskion hereni

2) waweke kipaji mbele kuliko muonekano. Eti kisa binti ana msambwanda ndo anawekwa. Tukitaka misambwanda tutaenda pornhub asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…