Msikilize Netanyahu anavyowatetea Raia wa Irani dhidi ya utawala wa Ayatollah

Msikilize Netanyahu anavyowatetea Raia wa Irani dhidi ya utawala wa Ayatollah

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.


Benjamin Netanyahu
 
"Wala Mayahudi hawatokuridhia, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na ikiwa utayafuata matamanio yao baada ya yale yaliyokufikia katika elimu, hutapata mlinzi wala msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu." (Qur’an 2:120)Aya hii inaelezea kuwa Mayahudi na Wakristo hawataridhika mpaka mtu afuate mila zao, lakini Waislamu wanashauriwa kufuata mwongozo wa Mwenyezi Mungu kwa kuwa huo ndio uongozi wa kweli.

Qur’an inawahimiza Waislamu kusimama imara katika imani yao na kutokufuata matamanio au mila za watu wengine ambazo zinakinzana na mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
 
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.

View attachment 3112085
Benjamin Netanyahu
Netanyahu addresses the Iranian people:

“I speak a lot about the leaders of Iran. Yet at this pivotal moment, I want to address you, the people of Iran. I want to do so directly, without filters, without middlemen. Every day, you see a regime that subjugates you make fiery speeches about defending Lebanon, defending Gaza. Yet every day, that regime plunges our region deeper into darkness and deeper into war.

Every day, their puppets are eliminated. Ask Mohammed Dev. Ask Nasrallah. There is nowhere in the Middle East Israel cannot reach. There is nowhere we will not go to protect our people and protect our country.

With every passing moment, the regime is bringing you, the noble Persian people, closer to the abyss. The vast majority of Iranians know their regime doesn't care a whit about them. If it did care, if it cared about you, it would stop wasting 1,000,000,000 of dollars on feudal wars across the Middle East. It would start improving your lives. Imagine if all the vast money the regime wasted on nuclear weapons and foreign wars were invested in your children's education and improving your health care and building your nation's infrastructure, water, sewage, all the other things that you need.

Imagine that. But you know one simple thing. Iran's tyrants don't care about your future, but you do. When Iran is finally free, and that moment will come a lot sooner than people think, everything will be different. Our 2 ancient peoples, the Jewish people and the Persian people, will finally be at peace.

Our 2 countries, Israel and Iran, will be at peace. When that day comes, the terror network that the regime built in 5 continents will be bankrupt, dismantled. Iran will thrive as never before. Global investment, massive tourism, brilliant technological innovation based on the tremendous talents that exist inside Iran. Doesn't that sound better than endless poverty, repression, and war?

From Khome to Isfahan, from Shiraz to Tiberise, there are tens of millions of good and decent people with 1,000 of years of history behind them and a brilliant future ahead of them. Don't let a small group of fanatic theocrats crush your hopes and your dreams. You deserve better. Your children deserve better. The entire world deserves better.

I know you don't support the rapists and murderers of Hamas and Hezbollah, but your leaders do. You deserve more. The people of Iran should know Israel stands with you. May we together know a future of prosperity and peace.”
 
Ukitaka kuangusha mti mkubwa, anza na matawi ili kupunguza kishindo cha anguko.

BTW. Iran ndio lengo kuu katika kupatikana amani ya mashariki ya kati
 
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.

View attachment 3112085
Benjamin Netanyahu
Yuko sahihi kabisa.

Anataka Iran nako kuchafuke
Naona ndiyo lengo lake...

Anasema Irani badala ya kuwekeza kwenye Elimu na uchumi yenyewe inawekeza kwenye Nyukilia.
Amesema Ukweli kuhusu Utawala wa Iran.
Wananchi wengi sana wa Iran hawaukubali utawala uliopo kwenye nchi hiyo. That's why mashambulizi mengi Sana ya hujuma (Sabotage Attacks) yamekuwa yakifanywa na Wananchi na raia wa Iran mwenyewe kwa kufadhiliwa na Washirika wao waliopo Marekani na Israel. Utawala uliopo Iran tatizo una misimamo mikali Sana ya utawala wa kidini (Sharia law regime) hali ambayo inawanyima haki na Uhuru binafsi raia wengi zaidi wa nchi hiyo.
 
Hii ni hadi hapo ulimwengu wa maadui wao watakapokiri kuwa, Israel ndilo taifa teule kwa Mungu aliyehai

Na mwenye kulipigania ni yeye huyo Mungu wao

Sasa endeleeni kubisha huku moto ukiwachoma
 
Hutoweza kuwagombanisha , unajipa ushindi tupo hapa tunaona .
 
"Wala Mayahudi hawatokuridhia, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na ikiwa utayafuata matamanio yao baada ya yale yaliyokufikia katika elimu, hutapata mlinzi wala msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu." (Qur’an 2:120)Aya hii inaelezea kuwa Mayahudi na Wakristo hawataridhika mpaka mtu afuate mila zao, lakini Waislamu wanashauriwa kufuata mwongozo wa Mwenyezi Mungu kwa kuwa huo ndio uongozi wa kweli.

Qur’an inawahimiza Waislamu kusimama imara katika imani yao na kutokufuata matamanio au mila za watu wengine ambazo zinakinzana na mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Mara mseme hao sio mayahudi,ni wazungu tu wametolewa ulaya wameletwa hapo.Mkibanwa huko pia mnakuja na aya za Quran kututhibitishia kuwa hao ni mayahudi kabisa,sasa sijui tushike lipi!!
 
Back
Top Bottom