Msikilize Netanyahu anavyowatetea Raia wa Irani dhidi ya utawala wa Ayatollah

Jiulize kwanini huoni maandamano kuunga mkono waislam wenzetu yakifanyika huko UAE QATAR SAUDI ARABIA
 
Ametoa hotuba yenye uhalisia.
Kufadhili magaidi na tafiti za nyuklia ziszoleta tija kunalitia hasara taifa.

Raia wanaburuzwa na kakikundi ka watu wachache kwa mgongo wa udini, hakuna demokrasia, wanatawala kifalme kama N.Korea.

Netanyahu kaongea ukweli mtupu.
 
Hiyo ni Elimu ya Umma? Anachomaanisha Netanyahu siyo kusomea Elimu ya Nyukilia Bali uwekezaji unaofanywa kwenye masuala ya Nyukilia dhidi ya uwekezaji kwenye Elimu.
Wenyewe wairan karibu kila siku wanatolea maelezo hilo suala."mradi wao wa Nyuklia ni kwamanufaa ya watu wa Iran na kwamba elimu juu ya teknolojia ya kisasa ya Nyuklia ni muhimu kwasababu inarahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii na kuwaletea maendeleo ya kiuchumi.inaleta wasiwasi kwa namna Israel,Marekani na Wamagharibi wasivyotaka kuwaelewa Wairan licha ya umoja wa mataifa kuthibitisha uaminifu kwa Wairan.
 
Wapi huko, Israel au Marekani!?
 
Jiulize kwanini huoni maandamano kuunga mkono waislam wenzetu yakifanyika huko UAE QATAR SAUDI ARABIA
Mbona Tel aviv kuna maandamano ya kumtoa Netanyhulu . kwani huoni kila siku ....Huyo mpolish anataka kuigawanya ila kwa vile tuko hai utaona yataishia vip..
 
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.

View attachment 3112085
Benjamin Netanyahu
Netanyau (Israel) hawajawahi kujali kuhusu raia wa Iran, hiyo ni sinema tu.
 
Wanataka kufanya divide and rle ili waendelee kuwanyanyasa wapalestine, hiyo hoja haipo ni uongo kaongea bullshit .

Mjinga ni USA anapeleka pesa ndefu kwa watu ambao hawajiwezi , eti taifa la Mungu hata bajeti mnategemea US...Mpolish leo anajilinda kisiasa .

Teknolojia kubwa anashindwa kutambua mateka wako wapi ?
 
Hizo hadithi ndizo zinazoharibu dini yenu.
 
Bonge moja la speech hakika iyo ndio Israel.
Peleka moto kweli kweli mpk waishe.
All the best
 
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.

View attachment 3112085
Benjamin Netanyahu
Wananchi wa Iran ni wayahudi ila viongozi wa Iran siyo wayahudi. Anguko la iran linakaribia wasipokua makini.

Takbir....
 
Hayo maneno kutoka kuran nani kasema hivyo!?
 
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.

View attachment 3112085
Benjamin Netanyahu
Huu ni UFALA WA KIWANGO CHA LAMI.
Bahati mbaya waajemi sio mafala kama waarabu.
Huyu anayeongea hivi RAIA WAKE 75% HAWAMPENDI NA WASHAANDAMANA NCHI NZIMA ZAIDI YA MARA 5 ATOKE MADARAKANI.
 
Wananchi wa Iran ni wayahudi ila viongozi wa Iran siyo wayahudi. Anguko la iran linakaribia wasipokua makini.

Takbir....
Huu utumbo wa kuku umeutoa wapi!?
Nani kakudanganya raia wa Iran ni wote wayahudi!?
Asili ya uajemi imeenda wapi kama wote wayahudi!?
Aisee hii JF kuna mapang'ang'a hatari sana.
 
Huu ni UFALA WA KIWANGO CHA LAMI.
Bahati mbaya waajemi sio mafala kama waarabu.
Huyu anayeongea hivi RAIA WAKE 75% HAWAMPENDI NA WASHAANDAMANA NCHI NZIMA ZAIDI YA MARA 5 ATOKE MADARAKANI.
Acha makasiriko Gaidi.

Wananchi walikuwa na hasira sababu hakuwa akitwanga Magaidi ya Hamas na Hezbollah, ila sasa kahamua kufanya yale wananchi wake walitaka hayafanye.
 
Kwa statement hi, "there will be peace between Iran and Israel soon" is like to say, RIP Ayatollah
 
Ni mpumbavu kabisa anahofia kuwa Iran akimiliki silaha za maangamizi Israeli itakuwa sehemu ya mpango wa kuangamizwa.
 
Acha makasiriko Gaidi.

Wananchi walikuwa na hasira sababu hakuwa akitwanga Magaidi ya Hamas na Hezbollah, ila sasa kahamua kufanya yale wananchi wake walitaka hayafanye.
Wewe nishakuzoea.
Una akili sawa na huyo kitimoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…