Msikilize Netanyahu anavyowatetea Raia wa Irani dhidi ya utawala wa Ayatollah

🇺🇸🇮🇱🇮🇷⚡️BREAKING: The US Embassy in Israel has issued a high-level alert to its employees in Israel and the Palestinian territories instructing them to return home and be prepared to enter a bomb shelter

This is the first such order since Iran's attack in April
 
Ukitaka kuangusha mti mkubwa, anza na matawi ili kupunguza kishindo cha anguko.

BTW. Iran ndio lengo kuu katika kupatikana amani ya mashariki ya kati
Iran anataka amani? Sio huyu kafadhiri Houth, sio huyu kataka kupigana na Saudi Arabia? Huyu ana kiu na damu za watu, tokea amalize vita vyake na Iraq mwaka 1988 ndio makundi ya ugaidi yameongezeka sana na kua na nguvu both military and economically and he is a chief financial. Hivi Iraqi anafanya nini pale huyu?
 
Kwamba kabla ya Uislam kuingia duniani Mungu alikua hana time na Wanadamu? Halafu manabii wote tunao wasoma kwenye vitabu wanatokana either na makabila 12 ya Israeli or babu zao hao Wayahudi; huyu mwarabu si ndio "mtume" wa kwanza kutoka nje ya Israeli? Halafu inakuaje Imani hi mpya (according to the scripture you quoted) ni kama inawalazimisha Wayahudi (ambao kimsingi ndio watu wa kwanza kuyajua maandiko ya mwenyezi Mungu, according to Quran) wawe Waislamu tena? Kwamba mwanzoni Mungu alikosea na sasa anajisahihisha kipitia Mwarabu? Interesting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…