Umepoteza misikioKwamba anasemaje?.
Tatizo ni hili, now days watu hawafungui videos kwa wingi sababu ya bundle so unaweza kuangalia wasomaji na wanaoreply kisha jifunze from there.Sikiliza mkuu utamsikia
Umepoteza misikio
Angalia uzi ulivyokosa wachangiaji mpaka umenifanya kuwa mjibu maswali ili kufufua uzi 😂!.unashauri nini sasa?
Wewe bundle unanunuwa kwa pesa zako, au unawekewa kazini au ni Free Wi Fi?
Taarifa au umbeya maana zilizomo humo sitakufanya uwe mtoa taarifa badala ya kuwa mpokea taarifa- ila inategemea umelelewa vipiHali ya uchumi ilivyo ngumu hivi..bado mnatuma video ili tumalize mabando tukose taarifa.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu utachangia nini kama hujasikiliza?! sina mashaka na uwezo wako wa kufikiri ila nina mashaka makubwa na namna unavyofikiri. Hata hivyo mie sikuwa natafuta michangoAngalia uzi ulivyokosa wachangiaji mpaka umenifanya kuwa mjibu maswali ili kufufua uzi 😂!.
Unapomsikiliza huyo prof wako eleza hata kwa muhtasari anachosema and then weka na hiyo sinema yako ili kila mtu aruke na anavyojiweza.
KARIBU.