Msikilize rais wa zanzibar, mhe. Dkt. Ali mohamed shein akiongea kuhusu katiba inayopendekezwa

Msikilize rais wa zanzibar, mhe. Dkt. Ali mohamed shein akiongea kuhusu katiba inayopendekezwa

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
MWENYE MACHO HAAMBIWI ONA! EBU SIKILIZENI VITU VIZURI HAPA!!

 
Last edited by a moderator:
MB 8 hazitoshi kuwasha youtube, kwani kasemaje?
 
Huu msukule sio wa kuusikiliza

Ukiwa mvivu wa kufikiri lakini ni mwepesi wa kusema, hali hii inaitwa kukurupuka. Ondoa fikra zako za kutojiamini na sikiliza yaliyofanyiwa kazi ndio maana yanasemwa. Yakwako umeyatoa wapi? Uwe mkweli nafsini mwako.
 
sasa mbona anamwita mwenzio "KIWETE"? au??


weka hoja yenye mantiki sio kutafuta sehemu alipokosea kutamka jina la mtu kaka, huo ni udhaifu na ukosaji wa hoja humu ndani. Hata wewe unaweza ukakosea kutamka kitu, "ulimi hauna mfupa"
 
huu msukule sio wa kuusikiliza


Kigogo wewe ndo msukule tena mkubwa ambaye hujulikani ulipo ,huna adabu wala maadili inaelekea wewe sio mtanzania afu huna hoja unabwata tu, waombe radhi wananchi.
 
Back
Top Bottom