KERO Msimamizi wa hosteli za COICT Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ana kauli chafu

KERO Msimamizi wa hosteli za COICT Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ana kauli chafu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Wanafunzi wa chuo Kikuu Dar Es Salaam wanaoishi COICT hostel wamekuwa wakilalamika juu ya msimamizi wao wa hostel kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kutoa kauli chafu na kutishia kuwa anakufukuza hostel na hauna utakachomfanya hivyo wanafunzi hao imebidi kuwa wapole
 
Wanafunzi wa chuo Kikuu Dar Es Salaam wanaoishi COICT hostel wamekuwa wakilalamika juu ya msimamizi wao wa hostel kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kutoa kauli chafu na kutishia kuwa anakufukuza hostel na hauna utakachomfanya hivyo wanafunzi hao imebidi kuwa wapole
Kauli chafu kama zipi? Anazitoa katika mazingira yapi? Nini hasa kinakuwa kimetokea?
 
Wanafunzi wa chuo Kikuu Dar Es Salaam wanaoishi COICT hostel wamekuwa wakilalamika juu ya msimamizi wao wa hostel kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kutoa kauli chafu na kutishia kuwa anakufukuza hostel na hauna utakachomfanya hivyo wanafunzi hao imebidi kuwa wapole
Eti wewe nae ni mwanafunzi wa chuo halafu hata kujielezea hujui!! Huko chuo mnafundishwa upumbavu?
 
Wakati mwingine kukaa kimya ni busara,kamwe msibishane na watu wenye stress zao.
Fuateni kilichowapeleka,hizo ndizo up and down za mnachokitafuta.
 
Wanafunzi fulani walipeleke risiti kwa isivyo bahati walimkosa misamamizi huyo na wakamkabidhi kiongozi kesho yake msimamizi huyo alikuja na kuwabebesha magodoro huku wakiwa wanashuka ngazi alikuwa anawatolea maneno mchafu sana na siyo kwa mmoja je unaona ni sawa mtu kuwa nakutolea maneno machafu mbele za watu huku akiwa anapaza sauti yake
 
Pelekeni malalamiko yenu kwenye mamlaka hukika mkuu.
 
Elimu
Elimu
Elimu
Rest in peace the white man 🙏



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Duh kweli udsm sahv hakuna wanafunzi yaani legelege tu
Nyie endeleeni kukata mauno tu
Mkicheza komasava

Ova
 
Back
Top Bottom