Msimamizi wa "masters" ya Tundu Lissu ajuta!

.l
RWEZAURA ANGALIA USIJE UKAOMBA KUPAMBANISHWA NA LISU KATIKA ULINGO WA SHERIA ZA TZ. HAKUTAKUWA NA TOFAUTI YA KUMPANGIA TYSON PAMBANO NA KOCHA WAKE.
.

Mkuu heshima kwako. Your real great thinker
 

Huyu Mwandishi amekosea kutumia neno UJINGA. Kujua kusoma tu na kuandika alikwishafuta ujinga. Hivyo, hata kama una ushabiki wa kisiasa, ulipaswa kuchagua maneno ya kutumia ili mada iwe na mshiko.
 
Huyu Mwandishi amekosea kutumia neno UJINGA. Kujua kusoma tu na kuandika alikwishafuta ujinga. Hivyo, hata kama una ushabiki wa kisiasa, ulipaswa kuchagua maneno ya kutumia ili mada iwe na mshiko.
Mkuu HAMY-D amemheshimu tu, neno sahihi lingekewa m.pum.mbavu!
 
Last edited by a moderator:


we juta kwanini umekuwa na mtindio wa ubongo ukaishia darasa la nne.mwe
 
hayo mahojiano umefanya naye wewe au? dada bana, mbona shahada yake ya uzamili hajaipata hapa udsm?

Yaani mkuu buku saba za Lumumba hawana kazi. Na walikurupuka tu ndiyo uchafu kama huu. Lisu kiboko yao.
 

Umenena Mrs Nepi Nnaue na Mrs Mwigula Chemba. Naona unatumika sana na mabwana zako. Watakutumia na watakutupa chooni kama toileti pepa.
 
Ogopa sana Uzi wenye zaidi ya miaka mitatu halafu hauna like hata moja!
 
Ogopa sana Uzi wenye zaidi ya miaka mitatu halafu hauna like hata moja!

..kulikuwa na jitihada za muda mrefu za kumchafua TL.

..awamu hii ikaingia na mkakati wa kumfanya TL aonekane kuwa ni adui, msaliti, na mhaini kwa nchi yake.

..na mwisho ni jaribio la kumtoa uhai.
 
..kulikuwa na jitihada za muda mrefu za kumchafua TL.

..awamu hii ikaingia na mkakati wa kumfanya TL aonekane kuwa ni adui, msaliti, na mhaini kwa nchi yake.

..na mwisho ni jaribio la kumtoa uhai.

No kweli kabisa sababu wanufaika Wa Nadini ni Mkapa,JK na watawala wengineo.Ili kuuziba ukweli plan yao ni kumuondolea uhai
 
Kumsimamia Mheshiwa Tundu Lissu ni baraka sana, ni bahati kupita kiasi, hawezi kujuta, sana sana hayo ni majigambo tu.
 
Pray 4 TL. Kiongozi mpole na mwenye busara zilizotukuka. Mtetezi wa haki za binadamu, demokrasia, utawala wa sheria na mzalendo wa kutoka moyoni. Long live TL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…