Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watumishi wa umma hawawezi kataa kwasababu wanaweza futwa kazi. Nchi hii ndo basiMsimamizi wa uchaguzi amekamatwa Kura feki 25 zilizo pigwa kabisa kwa Mgombea wa CCM, Haya Mauchafu Yanaendelea Nchi Nzima.
View attachment 3163441
Hongereni Wanachi kwa kusimama kidete.....Msimamizi wa uchaguzi amekamatwa Kura feki 25 zilizo pigwa kabisa kwa Mgombea wa CCM, Haya Mauchafu Yanaendelea Nchi Nzima.
View attachment 3163441
Hahaha......aibu sana.Samia must be so proud of herself.
Mtumishi wa umma ukimkomalia unakuwa unamwonea tu.Hawa watumishi wa umma hawawezi kataa kwasababu wanaweza futwa kazi. Nchi hii ndo basi
Walikuwa wanajaza mikutano Mafuriko FakeNilikuwa siamini ishu ya wizi wa kura, ila nimeamini sasa.
Washkaji kweli hawajiamini, mbona walikuwa wanajaza mikutano, viwanja inakuwaje wawe na wasiwasi hivi?
Dr Nchimbi na CPA Makalla wameambulia aibu Mwaka huu.Msimamizi wa uchaguzi amekamatwa Kura feki 25 zilizo pigwa kabisa kwa Mgombea wa CCM, Haya Mauchafu Yanaendelea Nchi Nzima.
View attachment 3163441
Naam, kabisaMtumishi wa umma ukimkomalia unakuwa unamwonea tu.
Wabaya ni maDE, MaDC na maDAS
Huyo wa mwisho anafata maelekezo tu
Waswahili husema 'kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza'.Hahaha......aibu sana.
Kumbe Mama hakujipanga kushinda uchaguzi
Sasa hivi nimeamini uchuguzi ukiwa wa haki hawatoboi hawa washkaji.Walikuwa wanajaza mikutano Mafuriko Fake
Hii siyo utani, raia wamemchoka. Sema bi mkubwa 2021/22 alikuwa na upepo, kajiharibia mwenyewe tuWaswahili husema 'kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza'.
Yale mabango nchi nzima, documentaries kila kukicha na sifa hata zisizostahiki juu ya Samia ni ishara tosha ya kuwa anajua hatoshinda kwa uhalali na anajaribu kuaminisha ulimwengu kuwa anafaa.
Ikitokea sasa hivi akawekwa Kingwendu dhidi ya Samia na kukawa na uchaguzi wa haki, Samia atapata kura yake, mumewe, watoto wake na mkwewe. Hata CCM wenyewe hawatompigia kura.
Hata 20% ya kura hawapati, na wanalijua hiloSasa hivi nimeamini uchuguzi ukiwa wa haki hawatoboi hawa washkaji.
Wananchi wamekuwa ngangari sana. Wamekiwasha Nchi nzimaHii siyo utani, raia wamemchoka. Sema bi mkubwa 2021/22 alikuwa na upepo, kajiharibia mwenyewe tu
Watanzania wanajiangamiza wenyewe. Kwa faida ya nani? Kupata viongozi wa mchongo ni hasara ya nani? Hata hao maDC etc, hawajui kuwa leo wapo, kesho hawapo? Anyways, mwanzilishi wa huu ushetani ni yule lusufa Magufuli. Kabla ya hapo wizi haukuwa wa kimabavu namna hii.Mtumishi wa umma ukimkomalia unakuwa unamwonea tu.
Wabaya ni maDE, MaDC na maDAS
Huyo wa mwisho anafata maelekezo tu
HahahahahaaaKuokoa raslimali fedha zinazopotea,ni vema wakawa wanateua kama mdau alivyopendekeza hapo juu.