Mbona hukuisifia tume iliposema magufuli ni mgombea halali?f
watamfukuza kazi lakini Mungu atamhifadhi!
Amewaona chadema wanataka kukimbia ligi kijanja
Huyu ndio kidume!Kama tangazo linavyojionesha hapo chini, sijui wakurugenzi wengine wanasubiri nini kufuata mfano wake...
Hivi Bashiru ni dini gani?Imani yake ktk uislamu inataka haki. Katekeleza. Hataki laana za baba askofu mbagala zakhem
Hotuba ya kina Lissu ya jana inahusika bila shaka.
Ulikuwa hujui mkuu, ana mamlaka kuliko Jaji Mkuu.Kumbe Mkurugenzi ana mamlaka makubwa kuliko tunavyofikiria.