swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,250
- 1,470
Kwa hakika nchi yetu Tanzania tunaipenda lakini mahali na hali tuliyofikia ni mbaya.
Swala la vita tumeanza kulizungumza kama utani utani kama mtu na mkewe chumbani.serikali nayi msimamo wake umekuwa wa utani haiangalii nini tatizo viongozi wanatoa propaganda na kupinga vikali bila hatua yoyote kuchukuliwa.hakuna anaekemea majibu ni mepesi sana hayana suluhisho.
Msimamo wa serikali yetu juu ya matukio mbalimbali ni mbovu na kwa sababu ya kushindwa kuchukua hatua imebaki kutupia lawama cdm au cuf hatua hazichukuliwi.
Kama wauwaji ni chadema mbona serikali haichukui hatua dhidi yao?matukio ya utekaji na uteswaji wa akina ulimbika,Absalom kibanda,Saed kubenea na wengine tuliambiwa na baadhi ya viongozi eti wanahusika chadema mpaka leo hajakamatwa yeyote wa chadema! Je chadema wako juu ya sheri?au ni propaganda hawahusiki? Mimi naomba tujiulize kama serikali itaendelea na msimamo ea kutupiana mpira hatutaingia vitani?kama chadema au cuf wanahusika basi sheria ichukue mkondo wake vinginevyo itafikia wakati tutaamini kuwa serikali inawalinda wahalifu wa vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani.
kifo cha mwangosi tuliambiwa na serikali chadema wanahusika!hakuna aliyekamatwa wala kuhijiwa kutoka chadema!
Kuteswa kwa Absalom kibanda tukaambiwa na wanasiasa wa ccm chadema inahusika!hakuna aliyekanatwa kutoka chadema!
Kuvamiwa na kuuawa kwa Dr mvungi yumeambiwa ni wahuni tu!
Kama chadema wanahusika je wako juu ya sheria? Au serikali inawajua wahalifu?hii ni kwa sababu kwa namna chadema inavyosakamwa kweli wangefanya haya wangesalimika au wangefutiwa hata usajiri!
tujue kuwa maeneo vita ilikotokea sababu hazikuwa kubwa wakati mwingine ni hata zilizodharaulika sasa serikali yetu acheni kurushiana mpira washughulikieni tuepeke vita.
chadema wanasisitiza ktk mikutani yao kuwa watekaji na watesaji wafhukuliwe hatua sasa kweli kama mhalifu anaomba achukuliwe hatua serikali inaogopa nini?
Swala la vita tumeanza kulizungumza kama utani utani kama mtu na mkewe chumbani.serikali nayi msimamo wake umekuwa wa utani haiangalii nini tatizo viongozi wanatoa propaganda na kupinga vikali bila hatua yoyote kuchukuliwa.hakuna anaekemea majibu ni mepesi sana hayana suluhisho.
Msimamo wa serikali yetu juu ya matukio mbalimbali ni mbovu na kwa sababu ya kushindwa kuchukua hatua imebaki kutupia lawama cdm au cuf hatua hazichukuliwi.
Kama wauwaji ni chadema mbona serikali haichukui hatua dhidi yao?matukio ya utekaji na uteswaji wa akina ulimbika,Absalom kibanda,Saed kubenea na wengine tuliambiwa na baadhi ya viongozi eti wanahusika chadema mpaka leo hajakamatwa yeyote wa chadema! Je chadema wako juu ya sheri?au ni propaganda hawahusiki? Mimi naomba tujiulize kama serikali itaendelea na msimamo ea kutupiana mpira hatutaingia vitani?kama chadema au cuf wanahusika basi sheria ichukue mkondo wake vinginevyo itafikia wakati tutaamini kuwa serikali inawalinda wahalifu wa vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani.
kifo cha mwangosi tuliambiwa na serikali chadema wanahusika!hakuna aliyekamatwa wala kuhijiwa kutoka chadema!
Kuteswa kwa Absalom kibanda tukaambiwa na wanasiasa wa ccm chadema inahusika!hakuna aliyekanatwa kutoka chadema!
Kuvamiwa na kuuawa kwa Dr mvungi yumeambiwa ni wahuni tu!
Kama chadema wanahusika je wako juu ya sheria? Au serikali inawajua wahalifu?hii ni kwa sababu kwa namna chadema inavyosakamwa kweli wangefanya haya wangesalimika au wangefutiwa hata usajiri!
tujue kuwa maeneo vita ilikotokea sababu hazikuwa kubwa wakati mwingine ni hata zilizodharaulika sasa serikali yetu acheni kurushiana mpira washughulikieni tuepeke vita.
chadema wanasisitiza ktk mikutani yao kuwa watekaji na watesaji wafhukuliwe hatua sasa kweli kama mhalifu anaomba achukuliwe hatua serikali inaogopa nini?