Msimamo wa club ya yanga baada ya kufungwa mechi mbili

Msimamo wa club ya yanga baada ya kufungwa mechi mbili

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kuhama uwanja wa Azam complex sababu zikiwa;

1. Prince Dube kupunguziwa mwanga wa taa anapokaribia goli ( huu upuuzi makubwa)

2. Aziz Ki aliona jiwe badala ya mpira.( Uchawi umewazidi wanakimbia kivuli chao)

3. Viti vya watazamaji vinawaumiza viuno mashabiki ( Sijui inahusiana nini na wao kufungwa!)

4. Wanasafiri masaa manne kwenda Azam complex kama vile wanaenda Tanga ( mfa maji haachi kutapa tapa)

5. Wamewekewa CCTV cameras ( wananyimwa nafasi ya kufanya mambo ya utamaduni ila sijui kwa nini wanasajili kwa hela nyingi!)

Msimamo huo wa club ni kupitia msemaji wao.

Ni jambo la kusikitisha kuona club inayojinasibu eti kubwa inakuwa na sababu za kitoto mno ambazo hazina mantiki yoyote na hazihusiani kabisa na wao kupoteza mechi mbili.

Mi ninaona kurujuani imeanza kuwaingia vilivyo.Waende wakamwombe msamaha mzee
 
Kuhama uwanja wa Azam complex sababu zikiwa;

1. Prince Dube kupunguziwa mwanga wa taa anapokaribia goli ( huu upuuzi makubwa)

2. Aziz Ki aliona jiwe badala ya mpira.( Uchawi umewazidi wanakimbia kivuli chao)

3. Viti vya watazamaji vinawaumiza viuno mashabiki ( Sijui inahusiana nini na wao kufungwa!)

4. Wanasafiri masaa manne kwenda Azam complex kama vile wanaenda Tanga ( mfa maji haachi kutapa tapa)

5. Wamewekewa CCTV cameras ( wananyimwa nafasi ya kufanya mambo ya utamaduni ila sijui kwa nini wanasajili kwa hela nyingi!)

Msimamo huo wa club ni kupitia msemaji wao.

Ni jambo la kusikitisha kuona club inayojinasibu eti kubwa inakuwa na sababu za kitoto mno ambazo hazina mantiki yoyote na hazihusiani kabisa na wao kupoteza mechi mbili.

Mi ninaona kurujuani imeanza kuwaingia vilivyo.Waende wakamwombe msamaha mzee
 

Attachments

  • VID-20241110-WA0000.mp4
    2.4 MB
Kuhama uwanja wa Azam complex sababu zikiwa;

1. Prince Dube kupunguziwa mwanga wa taa anapokaribia goli ( huu upuuzi makubwa)

2. Aziz Ki aliona jiwe badala ya mpira.( Uchawi umewazidi wanakimbia kivuli chao)

3. Viti vya watazamaji vinawaumiza viuno mashabiki ( Sijui inahusiana nini na wao kufungwa!)

4. Wanasafiri masaa manne kwenda Azam complex kama vile wanaenda Tanga ( mfa maji haachi kutapa tapa)

5. Wamewekewa CCTV cameras ( wananyimwa nafasi ya kufanya mambo ya utamaduni ila sijui kwa nini wanasajili kwa hela nyingi!)

Msimamo huo wa club ni kupitia msemaji wao.

Ni jambo la kusikitisha kuona club inayojinasibu eti kubwa inakuwa na sababu za kitoto mno ambazo hazina mantiki yoyote na hazihusiani kabisa na wao kupoteza mechi mbili.

Mi ninaona kurujuani imeanza kuwaingia vilivyo.Waende wakamwombe msamaha mzee
Kama ni wabovu hata wakihama bado watafungwa, ila kama ni kweli walihujumiwa tusibishe, waafrica ni wabobevu kwa majini. Ngoja tuone.
 
Kama ni wabovu hata wakihama bado watafungwa, ila kama ni kweli walihujumiwa tusibishe, waafrica ni wabobevu kwa majini. Ngoja tuone.
Tatizo sio kuhama.Tatizo ni sababu zinazotolewa kuwa ndio sababu za kuhama.
Wangehama na kukaa kimya hakuna ambaye angeshangaa.Sababu za kijinga zinazotolewa ndio zinsababisha watu wajiulize uwezo wa kufikiri wa huyo Msemaji wa Yanga.
 
Kuhama uwanja wa Azam complex sababu zikiwa;

1. Prince Dube kupunguziwa mwanga wa taa anapokaribia goli ( huu upuuzi makubwa)

2. Aziz Ki aliona jiwe badala ya mpira.( Uchawi umewazidi wanakimbia kivuli chao)

3. Viti vya watazamaji vinawaumiza viuno mashabiki ( Sijui inahusiana nini na wao kufungwa!)

4. Wanasafiri masaa manne kwenda Azam complex kama vile wanaenda Tanga ( mfa maji haachi kutapa tapa)

5. Wamewekewa CCTV cameras ( wananyimwa nafasi ya kufanya mambo ya utamaduni ila sijui kwa nini wanasajili kwa hela nyingi!)

Msimamo huo wa club ni kupitia msemaji wao.

Ni jambo la kusikitisha kuona club inayojinasibu eti kubwa inakuwa na sababu za kitoto mno ambazo hazina mantiki yoyote na hazihusiani kabisa na wao kupoteza mechi mbili.

Mi ninaona kurujuani imeanza kuwaingia vilivyo.Waende wakamwombe msamaha mzee
Bora mama ako angezaa boga achemshe
 
Kuhama uwanja wa Azam complex sababu zikiwa;

1. Prince Dube kupunguziwa mwanga wa taa anapokaribia goli ( huu upuuzi makubwa)

2. Aziz Ki aliona jiwe badala ya mpira.( Uchawi umewazidi wanakimbia kivuli chao)

3. Viti vya watazamaji vinawaumiza viuno mashabiki ( Sijui inahusiana nini na wao kufungwa!)

4. Wanasafiri masaa manne kwenda Azam complex kama vile wanaenda Tanga ( mfa maji haachi kutapa tapa)

5. Wamewekewa CCTV cameras ( wananyimwa nafasi ya kufanya mambo ya utamaduni ila sijui kwa nini wanasajili kwa hela nyingi!)

Msimamo huo wa club ni kupitia msemaji wao.

Ni jambo la kusikitisha kuona club inayojinasibu eti kubwa inakuwa na sababu za kitoto mno ambazo hazina mantiki yoyote na hazihusiani kabisa na wao kupoteza mechi mbili.

Mi ninaona kurujuani imeanza kuwaingia vilivyo.Waende wakamwombe msamaha mzee
Hatari sana!
 
Back
Top Bottom