kaka-blaza
Member
- Nov 7, 2019
- 96
- 141
habari za majukumu wanasoka wenzangu.
leo tarehe 20/03/2022 majira ya saa 19:00 tunaenda kushuhudia mechi za raundi ya tano katika kundi D kombe la shirikisho Afrika.
Ambapo msimamo upo kama hivi-
Timu. alama
1: Simba 7
2: ASEC Mimosas 6
3: RS Berkane 6
4: Gendarmarmerie. 4 .
na mechi za leo ni
ASEC vs Simba
USNG vs Berkane.
muda wa mechi zote ni saa 19:00.
nionavyo,
baada ya mechi za leo msimamo utakuwa kama ifuatavyo,
1: ASEC Memosas 9
2: Simba 7
3: USNG 7
4: RS Berkane 6.
Ambapo baada ya mechi za mwisho za makundi msimamo utasomeka kama ifuatavyo.
1: RS Berkane. 9
2: ASEC Memosas 9
3: Simba 8
4: USNG. 8.
Mwisho wa ndoto, na usiku umekwisha. acha niamke wahi kazini.
UPDATE:
Hao RS Berkane wamechomoa dakika ya 90 hivyo kuambulia sare inayofanya msimamo kuwa tofauti na ndoto yangu hapo juu.
na sasa msimamo upo kama ifuatavyo
1: ASEC memosas. 9
2: RS Berkane. 7
3: Simba. 7
5: USNG 5.
na hivyo kufanya yeyote kuwa na uwezekano wa kupita kwenye hilo kundi.
leo tarehe 20/03/2022 majira ya saa 19:00 tunaenda kushuhudia mechi za raundi ya tano katika kundi D kombe la shirikisho Afrika.
Ambapo msimamo upo kama hivi-
Timu. alama
1: Simba 7
2: ASEC Mimosas 6
3: RS Berkane 6
4: Gendarmarmerie. 4 .
na mechi za leo ni
ASEC vs Simba
USNG vs Berkane.
muda wa mechi zote ni saa 19:00.
nionavyo,
baada ya mechi za leo msimamo utakuwa kama ifuatavyo,
1: ASEC Memosas 9
2: Simba 7
3: USNG 7
4: RS Berkane 6.
Ambapo baada ya mechi za mwisho za makundi msimamo utasomeka kama ifuatavyo.
1: RS Berkane. 9
2: ASEC Memosas 9
3: Simba 8
4: USNG. 8.
Mwisho wa ndoto, na usiku umekwisha. acha niamke wahi kazini.
UPDATE:
Hao RS Berkane wamechomoa dakika ya 90 hivyo kuambulia sare inayofanya msimamo kuwa tofauti na ndoto yangu hapo juu.
na sasa msimamo upo kama ifuatavyo
1: ASEC memosas. 9
2: RS Berkane. 7
3: Simba. 7
5: USNG 5.
na hivyo kufanya yeyote kuwa na uwezekano wa kupita kwenye hilo kundi.