kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Ni kweli kwa sababu wamejikita katika riadha mapema sana.Afrika masharik naiona Kenya tu
Kweli Tanzania ilinganishwe na India?Hatimae mpk India wamepata Gold sisi patupuu
Kiuwekezaj kwenye michezo India wametuzidKweli Tanzania ilinganishwe na India?
Mombasa hali ya hewa km dar tu ila hiyo kambi ya arusha tuliingia cha kikeKambi ya wanariadha wetu ilikuwa Arusha
Mshiriki wetu mmoja amelalamika joto kali huko Tokyo, sijui hawakuliona hili mapema?
Wakenya walikuwa Mombasa