Msimamo wa Waislam juu ya Kura za Maoni za Katiba inayopendekezwa

Msimamo wa Waislam juu ya Kura za Maoni za Katiba inayopendekezwa

HNIC

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
1,898
Reaction score
2,197
MUFTI.JPG


Hawa ndio Viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na Serikali ya CCM wakiongea na waandishi wa Habari



Kwa waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA ambayo viongozi wake hakuna hata mmoja aliyesoma sekondari. Bali nazungumzia jumuia zingine ambazo ziko independent from Govt ambazo viongozi wake ni makini na wanawakilisha maoni ya waislam wengi zaidi Tanzania.

Naamini kuwa waislam wa Tanzania wana issues nyingi zaidi ya Mahakam ya Kadhi, Na pia najiuliza kuwa kama Wakristo makini Tanzania mawazo yao yashawasilishwa na TEC sasa naamini ni zam ya waislam na ikiwezekana Viongozi wa Dini zote 2 waungane kutoa msimamo thabiti kwa waumini wao juu ya hii kura ya maoni.

Naamini waislam hawajasahau jinsi walivyotumiwa na CCM kwenye kura za uchaguzi 2010 na pia nilifurahishwa walivyofanya hima na kugoma kuhesabiwa kwenye sensa sasa sioni washindwe vipi kujimobilise na kutumia lobby groups zao kushinikiza CCM juu ya interests zao kama ambavyo TEC walivyofanya.
 
Acha kuwalisha maneno mdomoni bana tanzania yetu sote kila mtu na busara zake.
 
mufti.jpg


hawa ndio viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na serikali ya ccm wakiongea na waandishi wa habari



kwa waislam simaanishi ile ngo iliyoanzishwa na serikali ya ccm kuwawakilisha waislam inayoitwa bakwata ambayo viongozi wake hakuna hata mmoja aliyesoma sekondari. Bali nazungumzia jumuia zingine ambazo ziko independent from govt ambazo viongozi wake ni makini na wanawakilisha maoni ya waislam wengi zaidi tanzania.

Naamini kuwa waislam wa tanzania wana issues nyingi zaidi ya mahakam ya kadhi, na pia najiuliza kuwa kama wakristo makini tanzania mawazo yao yashawasilishwa na tec sasa naamini ni zam ya waislam na ikiwezekana viongozi wa dini zote 2 waungane kutoa msimamo thabiti kwa waumini wao juu ya hii kura ya maoni.

Naamini waislam hawajasahau jinsi walivyotumiwa na ccm kwenye kura za uchaguzi 2010 na pia nilifurahishwa walivyofanya hima na kugoma kuhesabiwa kwenye sensa sasa sioni washindwe vipi kujimobilise na kutumia lobby groups zao kushinikiza ccm juu ya interests zao kama ambavyo tec walivyofanya.

ushindwe na ulegee, sisi wenzio hatukuungi mkono kuhusu ajenda yako hiyo isiyokuwa na maan, serikali yetu ya tanzania haina dini, kama unataka vurugu za namna hiyo nenda kwa isis au libya au somalia na sio hapa nchini, huoni hata aibu unapowalazimisha waislamu wenzio kufanya huo upuuzi wako? Mimi kama muislamu sikuungiu kabisaa tena ondoa hiyo mada yako kama huna hoja bora utulie nyumbani au osha vyombo vya nyumbani kwako hapo.
 
mufti.jpg


hawa ndio viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na serikali ya ccm wakiongea na waandishi wa habari



kwa waislam simaanishi ile ngo iliyoanzishwa na serikali ya ccm kuwawakilisha waislam inayoitwa bakwata ambayo viongozi wake hakuna hata mmoja aliyesoma sekondari. Bali nazungumzia jumuia zingine ambazo ziko independent from govt ambazo viongozi wake ni makini na wanawakilisha maoni ya waislam wengi zaidi tanzania.

Naamini kuwa waislam wa tanzania wana issues nyingi zaidi ya mahakam ya kadhi, na pia najiuliza kuwa kama wakristo makini tanzania mawazo yao yashawasilishwa na tec sasa naamini ni zam ya waislam na ikiwezekana viongozi wa dini zote 2 waungane kutoa msimamo thabiti kwa waumini wao juu ya hii kura ya maoni.

Naamini waislam hawajasahau jinsi walivyotumiwa na ccm kwenye kura za uchaguzi 2010 na pia nilifurahishwa walivyofanya hima na kugoma kuhesabiwa kwenye sensa sasa sioni washindwe vipi kujimobilise na kutumia lobby groups zao kushinikiza ccm juu ya interests zao kama ambavyo tec walivyofanya.

hoja yako hapo juu ni pumba tupu, tupilia mbali huko, weka hoja sio udini humu jf!!
 
MUFTI.JPG


Hawa ndio Viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na Serikali ya CCM wakiongea na waandishi wa Habari



Kwa waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA ambayo viongozi wake hakuna hata mmoja aliyesoma sekondari. Bali nazungumzia jumuia zingine ambazo ziko independent from Govt ambazo viongozi wake ni makini na wanawakilisha maoni ya waislam wengi zaidi Tanzania.

Naamini kuwa waislam wa Tanzania wana issues nyingi zaidi ya Mahakam ya Kadhi, Na pia najiuliza kuwa kama Wakristo makini Tanzania mawazo yao yashawasilishwa na TEC sasa naamini ni zam ya waislam na ikiwezekana Viongozi wa Dini zote 2 waungane kutoa msimamo thabiti kwa waumini wao juu ya hii kura ya maoni.

Naamini waislam hawajasahau jinsi walivyotumiwa na CCM kwenye kura za uchaguzi 2010 na pia nilifurahishwa walivyofanya hima na kugoma kuhesabiwa kwenye sensa sasa sioni washindwe vipi kujimobilise na kutumia lobby groups zao kushinikiza CCM juu ya interests zao kama ambavyo TEC walivyofanya.

Ndugu yangu nikupe darasa juu ya masuala ya dini yalivyoainishwa vizuri ndani ya Katiba Inayopendekezwa. Soma SURA YA TANO kuhusu HAKI ZA BINADAMU, SEHEMU YA KWANZA Inayoonesha Uhuru wa imani ya dini 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini. (2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ilimradi hakiuki sheria za nchi. SASA Watanzania wanaelewa na wanaheshimu sana masuala ya dini na wanajua: kwamba (3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya Serikali. Acha uongo, Si kweli kwamba kwa tafsiri yako eti "waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA" uwe na busara na weledi wa kuheshimu dini za wenzako. Watanzania ni wapenda amani, uvunjifu wa amani, kujenga chuki au kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini hiyo siyo jadi ya Watanzania, usipende kuleta uhasama miongoni mwa wananchi kupitia dini zao.
 
Ndugu yangu nikupe darasa juu ya masuala ya dini yalivyoainishwa vizuri ndani ya Katiba Inayopendekezwa. Soma SURA YA TANO kuhusu HAKI ZA BINADAMU, SEHEMU YA KWANZA Inayoonesha Uhuru wa imani ya dini 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini.(2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ilimradi hakiuki sheria za nchi. SASA Watanzania wanaelewa na wanaheshimu sana masuala ya dini na wanajua: kwamba (3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya Serikali. Acha uongo, Si kweli kwamba kwa tafsiri yako eti "waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA" uwe na busara na weledi wa kuheshimu dini za wenzako. Watanzania ni wapenda amani, uvunjifu wa amani, kujenga chuki au kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini hiyo siyo jadi ya Watanzania, usipende kuleta uhasama miongoni mwa wananchi kupitia dini zao.

Muelimishe huyo aelewe manaake dah anapotea juu ya huu mchakato wa Katiba Inayopendekezwa.
 
Ndugu yangu nikupe darasa juu ya masuala ya dini yalivyoainishwa vizuri ndani ya Katiba Inayopendekezwa. Soma SURA YA TANO kuhusu HAKI ZA BINADAMU, SEHEMU YA KWANZA Inayoonesha Uhuru wa imani ya dini 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini. (2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ilimradi hakiuki sheria za nchi. SASA Watanzania wanaelewa na wanaheshimu sana masuala ya dini na wanajua: kwamba (3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya Serikali. Acha uongo, Si kweli kwamba kwa tafsiri yako eti “waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA” uwe na busara na weledi wa kuheshimu dini za wenzako. Watanzania ni wapenda amani, uvunjifu wa amani, kujenga chuki au kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini hiyo siyo jadi ya Watanzania, usipende kuleta uhasama miongoni mwa wananchi kupitia dini zao.

Dada Mwasi Ubarikiwe sana kwa kumuelewesha huyo jamaa, Unajua kuna watu wanataka kuishi kama nyumbu! namaanisha maisha ya kukimbiakimbia hawataki amani, sasa sisi wataka amani tuwapinge popote bila woga.
 
Dada Mwasi Ubarikiwe sana kwa kumuelewesha huyo jamaa, Unajua kuna watu wanataka kuishi kama nyumbu! namaanisha maisha ya kukimbiakimbia hawataki amani, sasa sisi wataka amani tuwapinge popote bila woga.

kweli kabisaa, yani wanataka kuifanya TZ yetu kama Baghdad!!
 
Shura ya Maimam walikuwa wa kwanza kutoa msimamo juu ya kura ya maoni tafuta uzi huo utauona kila mmoja wetu ni HAPANA
 
Duh kuna watu wapo kazini hapa wamekodiwa kuitetea katiba bambikizi kwa namna yoyote ile. me nimewastukia aisee, haina haja ya kubishana nao wapo kazini.
 
Dada Mwasi Ubarikiwe sana kwa kumuelewesha huyo jamaa, Unajua kuna watu wanataka kuishi kama nyumbu! namaanisha maisha ya kukimbiakimbia hawataki amani, sasa sisi wataka amani tuwapinge popote bila woga.

Kweli kabisa kuna watu humu katiba inayopendekezwa kupigiwa kura hawajaisoma afu wanakurupuka kuchangia kwa vijihoja dhaifu, hivi nawauliza hamna kazi ya kufanya??? Asante Mwasi kwa kuliona hili na kutupa darasa mie sipendi mambo ya udini humu wakati tumelelewa katika misingi ya kuheshimiana narudia tena sipendi???
 
Shura ya Maimam walikuwa wa kwanza kutoa msimamo juu ya kura ya maoni tafuta uzi huo utauona kila mmoja wetu ni HAPANA


Wewe subiri usiongee sana utaona maana kila mtu ana akili yake na wala huwezi kuingia vichwani mwa watu ukajua wanawaza nini!
 
Mkuu HNIC shura ya maimamu walishatoa msimamo wa waislam kabla hata baraza na hiki ndio chombo kikuu cha kusimamia maswala ya waislam Tanzania, kura ni HAPANA

Mimi ni muislam nisietambua uwepo was bakwata kama chombo cha waislam
 
Last edited by a moderator:
MUFTI.JPG


Hawa ndio Viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na Serikali ya CCM wakiongea na waandishi wa Habari



Kwa waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha waislam inayoitwa BAKWATA ambayo viongozi wake hakuna hata mmoja aliyesoma sekondari. Bali nazungumzia jumuia zingine ambazo ziko independent from Govt ambazo viongozi wake ni makini na wanawakilisha maoni ya waislam wengi zaidi Tanzania.

Naamini kuwa waislam wa Tanzania wana issues nyingi zaidi ya Mahakam ya Kadhi, Na pia najiuliza kuwa kama Wakristo makini Tanzania mawazo yao yashawasilishwa na TEC sasa naamini ni zam ya waislam na ikiwezekana Viongozi wa Dini zote 2 waungane kutoa msimamo thabiti kwa waumini wao juu ya hii kura ya maoni.

Naamini waislam hawajasahau jinsi walivyotumiwa na CCM kwenye kura za uchaguzi 2010 na pia nilifurahishwa walivyofanya hima na kugoma kuhesabiwa kwenye sensa sasa sioni washindwe vipi kujimobilise na kutumia lobby groups zao kushinikiza CCM juu ya interests zao kama ambavyo TEC walivyofanya.

Wachumia tumbo wametulia kimya.
 
Chonde chonde msituvuruge mnataka, Watanzania tusikubali kumkaribisha Twiga kwenye nyumba ya mabua ataiporomosha yote chini afu tujute, Serikali na Dini wapi????????? nendeni basi huko Iraq mkajifunze mkae japo wiki tu kule walipo IS afu mseme nyie mnaijua sana sheria mnayotaka kuingiza kwenye katiba muone kama vichwa vyenu havibaki huko na mkione cha moto, mnafikiri mambo ya dini yakiingizwa kwenye katiba ndio maovu yataisha, kwa taarifa yenu mmewadharirisha wanasheria wetu, na mnakiuka katiba na kuidharau mahakama - nyie mnafaa kesi ya uhaini ya kufanya majaribio ya kutuingiza kwenye janga la SOMALIA, LIBYA, NIGERIA, IRAQ,PAKISTAN.
 
Back
Top Bottom