Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
kwa alieangalia show ya raymond fiesta muleba nazani ameujua jinsi uwezo alionesha show nzuri kabisa ya live ameimba kuna watu wanamfananisha na harmoniz lakini wacha niseme hamo ana sauti za kulekodia kuimba live bado baada ya ray kuimba alifata baraka kuimba live aliboa sana akafata bela akaua