Wakati Magufuli "anaboronga" CCM ilifanya nini kumfanya asiboronge?
CCM ndiyo iliyofaidika kwa Matendo ya Magufuli, yawe mema au mabaya.
Walaumiwe wao
Upo sahihi kabisaWakati Magufuli "anaboronga" CCM ilifanya nini kumfanya asiboronge?
CCM ndiyo iliyofaidika kwa Matendo ya Magufuli, yawe mema au mabaya.
Walaumiwe wao
Tanzania ni Tajiri ama ina rasirimali ambazo zikitumiwa vizuri zinaweza kuifanya iwe tajiri??Aah Braza, ebu kuwa na shukurani wewe ulikuwa unajua Tanzania ni tajiri? Bila ya kukuambia Magufuli
Kuua na kufunga wanaomkosoa (mfano Ben Saanane), Azory Gwanda, Kanguye!Magufuli aliboronga nini?
Hebu mwacheni shujaa wetu astarehe Mbinguni.
- Kupambana na mabeberu na vibaraka wao
- Kuwakataa wanasiasa wa upinzani walamba asali
- Kupambana na wauza madawa ya kulevya
- Kuondoa wahalifu wa vyeti feki kwenye Utumishi wa Umma
- Kujenga miundombinu bora nchi nzima na miradi ya kimkakati
- Kuleta uwajibikaji, n.k?
Hata CCM hawawezi kumsahau kwa kuwakalisha misumari CCM wenzie.Chadema hamtamsahau yule Shujaa
Na watu wanajigeuza mazuzu kwa kusema " huyu na yule hawafanani". chama chao ni tofauti!!??Na huyu mama asivyo tambua kuwa CCM ndiyo iliyonufaika na mborongo ya marehemu boss wake,yeye anaona Raha ripoti za CAG, vitimbi vya PCCB,Tambo za makusanyo ya TRA yote kumlaumu yule mborongaji hawa CCM wanachofanya Sasa hivi wanatengeneza mazingira kuja na LIJIWE JINGINE
Wengine wamepewa vichwa vya kubebea masikio, pua, mdomo na macho.Mungu amekupa akili, itumie!!
Kwa kweli wamarekani wangekuwa hawana mifumo ya kudhibitiana, Trump angewapelekesha sana!!
Sana.Magufuli aliboronga?
Wanajibaraguza kwamba hawayajui...Sio lazima ayataje kwani hata KICHAA anayajua
Shujaa?Chadema hamtamsahau yule Shujaa
Walifanya nini??ina maana hadi leo hujui CCM walichofanya?