Msimu huu hakuna Ukame wa kutisha. Kuna haja ya kumshukuru Mungu kama Taifa, na katika dini zetu za aina zote

Msimu huu hakuna Ukame wa kutisha. Kuna haja ya kumshukuru Mungu kama Taifa, na katika dini zetu za aina zote

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Asante Muumba wa Mbingu na Ardhi ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Napenda kuchukua fursa hii kuwasihi sisi sote kama Taifa na wananchi, wanajamii kwa Imani zetu zote tumshukuru Mungu kuzuia Ukamue msimu huu wa mwaka 2023-2024.

Asante Mungu wetu ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Ndimi mwanao

Wadiz
 
Back
Top Bottom