Msimu huu hakuna Ukame wa kutisha. Kuna haja ya kumshukuru Mungu kama Taifa, na katika dini zetu za aina zote

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Asante Muumba wa Mbingu na Ardhi πŸ™πŸ™πŸ™

Napenda kuchukua fursa hii kuwasihi sisi sote kama Taifa na wananchi, wanajamii kwa Imani zetu zote tumshukuru Mungu kuzuia Ukamue msimu huu wa mwaka 2023-2024.

Asante Mungu wetu πŸ™πŸ™πŸ™

Ndimi mwanao

Wadiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…