kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Bandiko hili ni maalum kwa mashabiki wa soka na sio mashabiki fashion na mihemko walioletwa na kina Haji manara, aziz k na hamisa huko instagram, Betpawa and the like.
kwa hizi mechi mbili nilizoishuhudia Simba ikicheza ni dhahiri kuwa kuna mabadiriko makubwa ya kiuchezaji na viwango vya wachezaji wengi vipo juu, siwezi kuihukumu timu kwa kuangalia kichapo ilichokipata kwenye mechi ya derby kwa sababu ni kawaida kwa derby nyingi kutokuamuliwa na ubora wa timu, refer vichapo tulivyokua tukivipata kutoka kwa yanga wakati tukiwa wa moto misimu kadhaa nyuma.
Simba kwa sasa ina wachezaji ambao wanaweza kumiliki mpira, kuretain possesion kwa haraka na kuucommand mpira ufanye kile wanachokitaka tofauti na misimu iliyopita, muangalie debora fernandez, augustine okajepha, edwin barua, mousa camara, kelvin kijiri, na wachezaji wengine,
kudhirisha hili kamuulize miquel gamond.
Kuna madhaifu machache ya kiungo mshambuliaji ambayo yanapelekea mipira mingi kuishia kwenye robo tatu ya mpinzani, naamini kocha ameshayaona na atayafanyia kazi.
Wanasimba tuiunge mkono timu yetu kwani msimu huu tunanyanyua ndoo ya NBC na kwenye CAFCC tutafika hatua ya juu zaidi ikiwemo kubeba kombe,
Simba Nguvu Moja (SNM)
kwa hizi mechi mbili nilizoishuhudia Simba ikicheza ni dhahiri kuwa kuna mabadiriko makubwa ya kiuchezaji na viwango vya wachezaji wengi vipo juu, siwezi kuihukumu timu kwa kuangalia kichapo ilichokipata kwenye mechi ya derby kwa sababu ni kawaida kwa derby nyingi kutokuamuliwa na ubora wa timu, refer vichapo tulivyokua tukivipata kutoka kwa yanga wakati tukiwa wa moto misimu kadhaa nyuma.
Simba kwa sasa ina wachezaji ambao wanaweza kumiliki mpira, kuretain possesion kwa haraka na kuucommand mpira ufanye kile wanachokitaka tofauti na misimu iliyopita, muangalie debora fernandez, augustine okajepha, edwin barua, mousa camara, kelvin kijiri, na wachezaji wengine,
kudhirisha hili kamuulize miquel gamond.
Kuna madhaifu machache ya kiungo mshambuliaji ambayo yanapelekea mipira mingi kuishia kwenye robo tatu ya mpinzani, naamini kocha ameshayaona na atayafanyia kazi.
Wanasimba tuiunge mkono timu yetu kwani msimu huu tunanyanyua ndoo ya NBC na kwenye CAFCC tutafika hatua ya juu zaidi ikiwemo kubeba kombe,
Simba Nguvu Moja (SNM)