Msimu mpya wa ligi za mchongo! Tunaache kuwa kichwa cha mwendawazimu kitaifa?!

Msimu mpya wa ligi za mchongo! Tunaache kuwa kichwa cha mwendawazimu kitaifa?!

Librarian 105

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
261
Reaction score
356
images(15).jpeg
Ligi ya diwani!
Ligi ya mbunge!
Uzinduzi unaendelea....

images(14).jpeg


Yaani badala ya kutunga sera ktk halmashauri na wabunge waishauri serikali na washirikiane kuwekeza katika michezo ili kuzalisha ajira mbadala nchini. Wanazindua ligi za kusakia "kura"?!
Hii ndo bongo, kila kitu mchongo, kwa mipango, dili bila msongo,
tutafika kweli kwa mchongo?!
 
View attachment 2634031Ligi ya diwani!
Ligi ya mbunge!
Uzinduzi unaendelea....

View attachment 2634032

Yaani badala ya kutunga sera ktk halmashauri na wabunge waishauri serikali na washirikiane kuwekeza katika michezo ili kuzalisha ajira mbadala nchini. Wanazindua ligi za kusakia "kura"?!
Hii ndo bongo, kila kitu mchongo, kwa mipango, dili bila msongo,
tutafika kweli kwa mchongo?!
Acha roho mbaya wewe dogo
Mpira ni ajira, unajua wangapi wananufaika na makombe hayo?

Wewe utakuwa ni Norman sigalla unamsagia kunguni festo sanga,

Mbona ulivokuwa mbunge ulianzisha makombe kama haya na wananchi wako walikaa kimya
 
Acha roho mbaya wewe dogo
Mpira ni ajira, unajua wangapi wananufaika na makombe hayo?

Wewe utakuwa ni Norman sigalla unamsagia kunguni festo sanga,

Mbona ulivokuwa mbunge ulianzisha makombe kama haya na wananchi wako walikaa kimya
hakuna roho mbaya kaka. Tazama jambo kwa mapana yake
 
hakuna roho mbaya kaka. Tazama jambo kwa mapana yake
Acha mbwembwe jambo gani nitazame kwa mapana?

Kwanini wewe ulieliona usiliseme hapa kwa hayo mapana?

Watu wa bulongwa acheni ubinafsi
 
Back
Top Bottom