Msimu Mpya wa VPL unaanza leo lakini Jezi ya Yanga haijulikani mpaka leo?

Umeiona jezzi mkuu ni zaidi ya maridadi sana
 
Hao wanalelewa mke na GSM kula yao yashida hawawezi hata kukohoa, iyo timu hadi soksi zimetoboka kule kwenye vyumba vya kubadilishia nguo mbu wote wamekufa
 
Mpaka hapa ninavyoandika, jezi ya Yanga haijulikani na wanafungua msimu kwa kucheza na Prisons baadae usiku kwa Mkapa. Je, mashabiki wenzangu wa Yanga mnalichukuliaje suala hili?
Pengine wanataka kuzindua jezi pamoja na duka lao kwa pamoja.
Leo Yanga wanazindua duka lao pamoja na jezi zao za msimu wa 2020/2021
 
Uzinduzi: Jezi mpya kuzinduliwa Leo

#TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Msimu uliyopita Yanga walikuwa na Jezi kali sana, lakini msimu huu wamefeli. Jezi hazivutii
 
Mpaka hapa ninavyoandika, jezi ya Yanga haijulikani na wanafungua msimu kwa kucheza na Prisons baadae usiku kwa Mkapa. Je, mashabiki wenzangu wa Yanga mnalichukuliaje suala hili?
Utopolo msiwasakame Makolo maana hata nyinyi mlipitia huku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…