Msimu mzima hadi sasa Messi kapata goli 6 tu!! huko League 1 Ufaransa

Msimu mzima hadi sasa Messi kapata goli 6 tu!! huko League 1 Ufaransa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Mchezaji mzuri anapaswa kung'aa kwenye timu yoyote na nchi yoyote.

Messi kushindwa kung'aa akiwa na timu ya PSG nchini ufaransa kumethibitisha kuwa Messi yuko over-rated!!

Ameishia na keshaanza kuwaza kukimbilia Marekani au uarabuni. Mwenzake CR7 hadi sasa ana magoli 18 na ndiye shujaa wa kufumania nyavu kwenye timu yake ya Man U.
 
Messi badala ya kuwa msaada pale PSG kawa mzigo

Mshahara mkubwa anapokea output anayoitoa hailingan na thaman yake

Labda mbape akiondoka timu ataibeba mabegani mwake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom