Mm ni shabiki wa Arsenal lakini naona season ijayo itakua na machungu kama ya sesion zilizopita na sababu kubwa ni ubahili wa Wenger. Kwa kikosi kilichopo sina uhakika kama kuna uwezekano wa kuchukua kombe lolote. Kikosi kinahitaji beki,kiungo na foward nzuri za uhakika. Wenger naona ananunua vitoto vya 18 yrs ambavyo havitatusaidia kitu chochote sesion ijayo.Msimu ujao utakua na upinzani mkubwa sana Manchester utd/city,Liverpool,Chelsea,Totenham,Leicester zinazidi kujiimarisha. Wenger saivi anacheza na vitimu vya ajabu anashida bao 8 anafuraaahi. Msimu ujao tutegemee maumivu hilo halina ubishi.