mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuna watu wanashangaa vijana kushabikia mpira kuliko siasa.
Hii ni ajira isiyo rasmi, kwako kijana usiye na kazi,kila mechi ya ligi weka mzigo hata laki tano hukosi laki faida
Hii ni kwa mechi za yanga tu na uweke mechi moja tu,maana ushindi ni asilimia 90.
Kama wanahonga waamuzi au wapinzani sisi hatujali.
Mimi ni mnyama damu ila Yanga imeniingizia milioni 8 msimu uliopita
Hii ni ajira isiyo rasmi, kwako kijana usiye na kazi,kila mechi ya ligi weka mzigo hata laki tano hukosi laki faida
Hii ni kwa mechi za yanga tu na uweke mechi moja tu,maana ushindi ni asilimia 90.
Kama wanahonga waamuzi au wapinzani sisi hatujali.
Mimi ni mnyama damu ila Yanga imeniingizia milioni 8 msimu uliopita