Wakulima wachache wa vijijini watamudu bei ya shilingi 15 elfu kwa mfiuko wa kilo mbili! Hakuna, watatumia mbegu zao ambazo hazina tija na ni za muda mrefu kuweza kuvuna na mvua hizi fupi!
Soma Pia: Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo
Soma Pia: Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo