Mbegu gan hiyo? Kwa Msimu huu Dk imeanzia elfu 16 ya Tz.. ya Zambia elfu 20.. mambo ni 🔥 nadhani lengo lao tusilime kabisa.. kwa maana haiingii akilini bei kupanda kiasi hicho! Je, Msimu wenyewe ukifika bei itakuwaje?? Kama sasa ndivyo!Wakulima wachache wa vijijini watamudu bei ya shilingi 15 elfu kwa mfiuko wa kilo mbili! Hakuna, watatumia mbegu zao ambazo hazina tija na ni za muda mrefu kuweza kuvuna na mvua hizi fupi!
Soma Pia: Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo
Vuli kwani si msimu rasmi wa kilimo?Mbegu gan hiyo? Kwa Msimu huu Dk imeanzia elfu 16 ya Tz.. ya Zambia elfu 20.. mambo ni 🔥 nadhani lengo lao tusilime kabisa.. kwa maana haiingii akilini bei kupanda kiasi hicho! Je, Msimu wenyewe ukifika bei itakuwaje?? Kama sasa ndivyo!
Ni sahihi. Sisi nyanda za juu kusini tunapigika kweli ila kwa kuwa hatuna namna tutafanyaje.Hii nchi Kilimo ni kigumu sana kwakweli.
Kulima ni ghalama kubwa, masoko ni haba. Mauzo ni bei ya chini.
Hapa umedanganya. Wapi mbolea inauzwa hivyo? Tupo kwenye ruzuku, nchi nzima bei haivuki 75,000 mkuu.Mbolea Mfuko mmoja wa 50kg ni 120,000.
Kilimo ni sekta inayotegemewa tz lakini vikwazo ni vingi na serikali Iko kimya