kipeta singo
New Member
- Oct 25, 2021
- 3
- 8
Kwa wakulima wenzangu msimu wa maembe umewadia changamoto kwa sasa ni soko linapatikanaje.
Kwa yoyote mwenye kujua soko la uhakika tafadhari naomba tujulishane au kama unahitaji embe kwa bei ya jumla utazifata shambani Kibaha.
Nitafute kwa wasap 0746590147 tufanye biashara
Kwa yoyote mwenye kujua soko la uhakika tafadhari naomba tujulishane au kama unahitaji embe kwa bei ya jumla utazifata shambani Kibaha.
Nitafute kwa wasap 0746590147 tufanye biashara