kipeta singo
New Member
- Oct 25, 2021
- 3
- 8
Yanga imekujaje hapa.Yanga bingwa
Mzigo upo kibaha kama unahitaji nimekuwekea namba za cm apo tuwasilianeUnapatikana wapi?
Wakati unalima uliambiwa lima uwe tajiriKwa wakulima wenzangu msimu wa maembe umewadia changamoto kwa sasa ni soko linapatikanaje.
Kwa yoyote mwenye kujua soko la uhakika tafadhari naomba tujulishane au kama unahitaji embe kwa bei ya jumla utazifata shambani Kibaha.
Nitafute kwa wasap 0746590147 tufanye biashara
jf imeingiliwa na watu wajinga wengi sana, kila mahali ni utani tu mpaka imepoteza ladha kabisa.Yanga imekujaje hapa.
Usiharibu uzi wa mwenzio
Kuna bolibo dodo na appleAina gani ya embe!!?
Yanga imekujaje hapa.
Usiharibu uzi wa mwenzio
Aisee!!Nchi ina wananchi wa hovyo sana kila muda wanawaza ma mpira tu