Msimuingizie agenda zenu Rais Samia, maana maono yake ni yaleyale ya Hayati Magufuli

Msimuingizie agenda zenu Rais Samia, maana maono yake ni yaleyale ya Hayati Magufuli

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Watu wanataka Samia aje na vision yake katika urais Tanzania

Kimsingi huyu mama hata VP hakuwahi kuuota, na kwa hiyo hakuwahi kuwa na picha ya nini afanye akiwa VP! Kwa hiyo, kwa uaminifu kabisa aliendelea kumsaidia JPM kufikia maono yake juu ya kuwa nchi liyo na uhuru kamili kwa kujikomboa kiuchumi na kuwa donor country!

Unless kama ninyi mnaomtaka huyu mama aje na maono yake mengine mnataka kutueleza huyu mama alikaa mkao wa kutaka kuwa rais na hivyo alishakuwa na mtazamo wake wa nini afanye! Kwa kuwa kwa maoni yangu huyu mama yetu hakuwahi ota kuwa rais wa Tz, aliishi kwa maono yaleyale ya boss wake, ya kuikomboa Tz kiuchumi kwa kuitimiza ilani ya ccm!

Na hata baada ya kuondoka boss wake, ambaye ndie mwalimu wake na kwa kweli ndie aliyemuambikiza maono yake juu ya nchi yetu, na sasa mama kushika hatamu za uongozi, sitegemei kumuona akikengeuka na kutoka nje ya reli...maana hii itamuonyesha kuwa ni msaliti wa mwalimu/boss wake, na kwamba alikuwa akiburuzwa tu bila ya yeye mama kujua chochote(ambapo hapo sasa tutashangaa kwa nini hakujiudhuru), au alikuwa anatafuta jinsi ya kuchukua uongozi kutoka kwa boss wake( hii ni kama alikuwa na motive za uasi, kitu ambacho siwezi kukiamini, maana mama yetu alikuwa kajikalia tu na akiwazia ubunge na kwenda kuwapiga maswali mawaziri uchwara bungeni basi, haya mengine hakuwa nayo, Magu akamuibua na kuwa VP)!

Kwa hiyo ukiniuliza mimi, huyu mama hawezi kuwa na agenda mpya zaidi ya kuyaendeleza mazuri yote ya mtangulizi wake kwa uaminifu kabisa! Mnaotaka aje na maono mapya mnataka kumuingizia agenda zenu na kumtoa kwenye reli ili mama aonekane kuwa hakuwa mdaidizi na mwanafunzi mwaminifu kwa boss na mwalimu wake na hivyo kutaka kumwingiza kwenye 18 za kuonekana alimtakia mabaya bosd wake! Katu hamtaweza.

Hao wote wanataka kuchomekea agenda zao hata kama ni mumewe wajitafakari sana I see kama wana nia njema yoyote juu ya mama yetu! Maana mnataka aonekane kuwa ni adui wa wazalendo na ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu! Mungu
 
Magufuli alikuwa ni hopeless sinner ambae legacy yake pamoja na maono yake yalikuwa ni haya hapa chini ambapo kama Mama ataongoza nchi kupitia kivuli cha Magufuli basi ataenda kuwa one term hopeless president:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda ili yeye ajihakikishie kutawala milele.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku kwa kesi fake ambazo hazina dhamana.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa
 
Mama anazo akili timamu! Hawezi kuendeleza upumbavu wa mwendazake
 
Nonsense
Magufuli alikuwa ni hopeless sinner ambae legacy yake pamoja na maono yake yalikuwa ni haya hapa chini ambapo kama Mama ataongoza nchi kupitia kivuli cha Magufuli basi ataenda kuwa one term hopeless president:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda ili yeye ajihakikishie kutawala milele.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku kwa kesi fake ambazo hazina dhamana.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24.Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa
 
Magufuli alikuwa anaiingiza nchi himoni ndio maana hata wazee wa CCM wenyewe walitafakari wakaamua wachukukue uamuzi mgumu ili kuliokoa taifa
 
Wee kenge wa mataga unataka mama acopy maujinga ya jiwe?
Elewa huu ni utawala mpya mambo ya jiwe ashazikwa nayo huko chato

Mwacheni mama afanye mambo yake kikatiba sio kwa sababu alikua msaidizi wa jiwe ndo afanye na afuate mambo ya mwendazake huo urais hajaupata kama zawadi toka kwenu mataga Bali katiba ndio inataka hivyo hivyo msimpangie mwacheni afanye anavyotaka yeye

Mnaogopa atafukua makaburi yenu si ndio ngoja nimtag CAG kichere dadeq!


CAG fukua makaburi ya jiwe kama yeye alivyofukua ya wenzake alaaaaaaaaaaaa!
Karma is bitch!
 
Watu wanataka Samia aje na vision yake katika urais Tanzania

Kimsingi huyu mama hata VP hakuwahi kuuota, na kwa hiyo hakuwahi kuwa na picha ya nini afanye akiwa VP! Kwa hiyo, kwa uaminifu kabisa aliendelea kumsaidia JPM kufikia maono yake juu ya kuwa nchi liyo na uhuru kamili kwa kujikomboa kiuchumi na kuwa donor country!

Unless kama ninyi mnaomtaka huyu mama aje na maono yake mengine mnataka kutueleza huyu mama alikaa mkao wa kutaka kuwa rais na hivyo alishakuwa na mtazamo wake wa nini afanye! Kwa kuwa kwa maoni yangu huyu mama yetu hakuwahi ota kuwa rais wa Tz, aliishi kwa maono yaleyale ya boss wake, ya kuikomboa Tz kiuchumi kwa kuitimiza ilani ya ccm!

Na hata baada ya kuondoka boss wake, ambaye ndie mwalimu wake na kwa kweli ndie aliyemuambikiza maono yake juu ya nchi yetu, na sasa mama kushika hatamu za uongozi, sitegemei kumuona akikengeuka na kutoka nje ya reli...maana hii itamuonyesha kuwa ni msaliti wa mwalimu/boss wake, na kwamba alikuwa akiburuzwa tu bila ya yeye mama kujua chochote(ambapo hapo sasa tutashangaa kwa nini hakujiudhuru), au alikuwa anatafuta jinsi ya kuchukua uongozi kutoka kwa boss wake( hii ni kama alikuwa na motive za uasi, kitu ambacho siwezi kukiamini, maana mama yetu alikuwa kajikalia tu na akiwazia ubunge na kwenda kuwapiga maswali mawaziri uchwara bungeni basi, haya mengine hakuwa nayo, Magu akamuibua na kuwa VP)!

Kwa hiyo ukiniuliza mimi, huyu mama hawezi kuwa na agenda mpya zaidi ya kuyaendeleza mazuri yote ya mtangulizi wake kwa uaminifu kabisa! Mnaotaka aje na maono mapya mnataka kumuingizia agenda zenu na kumtoa kwenye reli ili mama aonekane kuwa hakuwa mdaidizi na mwanafunzi mwaminifu kwa boss na mwalimu wake na hivyo kutaka kumwingiza kwenye 18 za kuonekana alimtakia mabaya bosd wake! Katu hamtaweza.

Hao wote wanataka kuchomekea agenda zao hata kama ni mumewe wajitafakari sana I see kama wana nia njema yoyote juu ya mama yetu! Maana mnataka aonekane kuwa ni adui wa wazalendo na ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu! Mungu
Eti aendeleze ya mwenzake
Wewe una akili kweli
 
Mama ni binaadamu anayejali maisha ya wengine hivyo usitake kumfananisha na yule kirusi
 
Watu wanataka Samia aje na vision yake katika urais Tanzania

Kimsingi huyu mama hata VP hakuwahi kuuota, na kwa hiyo hakuwahi kuwa na picha ya nini afanye akiwa VP! Kwa hiyo, kwa uaminifu kabisa aliendelea kumsaidia JPM kufikia maono yake juu ya kuwa nchi liyo na uhuru kamili kwa kujikomboa kiuchumi na kuwa donor country!

Unless kama ninyi mnaomtaka huyu mama aje na maono yake mengine mnataka kutueleza huyu mama alikaa mkao wa kutaka kuwa rais na hivyo alishakuwa na mtazamo wake wa nini afanye! Kwa kuwa kwa maoni yangu huyu mama yetu hakuwahi ota kuwa rais wa Tz, aliishi kwa maono yaleyale ya boss wake, ya kuikomboa Tz kiuchumi kwa kuitimiza ilani ya ccm!

Na hata baada ya kuondoka boss wake, ambaye ndie mwalimu wake na kwa kweli ndie aliyemuambikiza maono yake juu ya nchi yetu, na sasa mama kushika hatamu za uongozi, sitegemei kumuona akikengeuka na kutoka nje ya reli...maana hii itamuonyesha kuwa ni msaliti wa mwalimu/boss wake, na kwamba alikuwa akiburuzwa tu bila ya yeye mama kujua chochote(ambapo hapo sasa tutashangaa kwa nini hakujiudhuru), au alikuwa anatafuta jinsi ya kuchukua uongozi kutoka kwa boss wake( hii ni kama alikuwa na motive za uasi, kitu ambacho siwezi kukiamini, maana mama yetu alikuwa kajikalia tu na akiwazia ubunge na kwenda kuwapiga maswali mawaziri uchwara bungeni basi, haya mengine hakuwa nayo, Magu akamuibua na kuwa VP)!

Kwa hiyo ukiniuliza mimi, huyu mama hawezi kuwa na agenda mpya zaidi ya kuyaendeleza mazuri yote ya mtangulizi wake kwa uaminifu kabisa! Mnaotaka aje na maono mapya mnataka kumuingizia agenda zenu na kumtoa kwenye reli ili mama aonekane kuwa hakuwa mdaidizi na mwanafunzi mwaminifu kwa boss na mwalimu wake na hivyo kutaka kumwingiza kwenye 18 za kuonekana alimtakia mabaya bosd wake! Katu hamtaweza.

Hao wote wanataka kuchomekea agenda zao hata kama ni mumewe wajitafakari sana I see kama wana nia njema yoyote juu ya mama yetu! Maana mnataka aonekane kuwa ni adui wa wazalendo na ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu! Mungu
Sukuma Gang,,,rubbish
 
Mama ni binaadamu anayejali maisha ya wengine hivyo usitake kumfananisha na yule kirusi
Unamaanisha nini kuwa 'anajali maisha ya wengine? Inamaana kuendelea kukemea rushwa na ufisadi kwa kuwachukulia hatua stahiki ni kutojali maisha ya watu eeh!? Kuna watu kweli hamnazo!
 
Majinga majinga mengne bhana

Mataga huu mwaka mtakufa maana mama hamumuelew kesho ataamka na lipi
bwana mipango alipoapishwa akatoa na hotuba bungen aktamba utadhan ye ndo rais lakn ameshaelewa yuko kmy kama hayupo toka mama atoe hotuba zake jamaa kapoteana
 
Unamaanisha nini kuwa 'anajali maisha ya wengine? Inamaana kuendelea kukemea rushwa na ufisadi kwa kuwachukulia hatua stahiki ni kutojali maisha ya watu eeh!? Kuna watu kweli hamnazo!
Watu kama wewe kiazi inabidi tuwaambie kuwa magufuli hakuwa anajali utawala bora, haki za binadamu na ubaguzi
Katika serikali yake alitengeneza makundi ya kuteka watu na kuwatesa na kuwaua, hakutaka kuruhusu wakosoaji wake wamkosoe ambapo alifika hadi stage ya kufungia vyama vingine visiomkosoe na kwa asilimia kubwa aliweka watu wake wa karibu serikalini kuanzia na mandugu pamoja na wale wenye mawazo kama yake.

Hukufaa kuwa hata mwenyeki wa kijiji
 
Watu wanataka Samia aje na vision yake katika urais Tanzania

Kimsingi huyu mama hata VP hakuwahi kuuota, na kwa hiyo hakuwahi kuwa na picha ya nini afanye akiwa VP! Kwa hiyo, kwa uaminifu kabisa aliendelea kumsaidia JPM kufikia maono yake juu ya kuwa nchi liyo na uhuru kamili kwa kujikomboa kiuchumi na kuwa donor country!

Unless kama ninyi mnaomtaka huyu mama aje na maono yake mengine mnataka kutueleza huyu mama alikaa mkao wa kutaka kuwa rais na hivyo alishakuwa na mtazamo wake wa nini afanye! Kwa kuwa kwa maoni yangu huyu mama yetu hakuwahi ota kuwa rais wa Tz, aliishi kwa maono yaleyale ya boss wake, ya kuikomboa Tz kiuchumi kwa kuitimiza ilani ya ccm!

Na hata baada ya kuondoka boss wake, ambaye ndie mwalimu wake na kwa kweli ndie aliyemuambikiza maono yake juu ya nchi yetu, na sasa mama kushika hatamu za uongozi, sitegemei kumuona akikengeuka na kutoka nje ya reli...maana hii itamuonyesha kuwa ni msaliti wa mwalimu/boss wake, na kwamba alikuwa akiburuzwa tu bila ya yeye mama kujua chochote(ambapo hapo sasa tutashangaa kwa nini hakujiudhuru), au alikuwa anatafuta jinsi ya kuchukua uongozi kutoka kwa boss wake( hii ni kama alikuwa na motive za uasi, kitu ambacho siwezi kukiamini, maana mama yetu alikuwa kajikalia tu na akiwazia ubunge na kwenda kuwapiga maswali mawaziri uchwara bungeni basi, haya mengine hakuwa nayo, Magu akamuibua na kuwa VP)!

Kwa hiyo ukiniuliza mimi, huyu mama hawezi kuwa na agenda mpya zaidi ya kuyaendeleza mazuri yote ya mtangulizi wake kwa uaminifu kabisa! Mnaotaka aje na maono mapya mnataka kumuingizia agenda zenu na kumtoa kwenye reli ili mama aonekane kuwa hakuwa mdaidizi na mwanafunzi mwaminifu kwa boss na mwalimu wake na hivyo kutaka kumwingiza kwenye 18 za kuonekana alimtakia mabaya bosd wake! Katu hamtaweza.

Hao wote wanataka kuchomekea agenda zao hata kama ni mumewe wajitafakari sana I see kama wana nia njema yoyote juu ya mama yetu! Maana mnataka aonekane kuwa ni adui wa wazalendo na ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu! Mungu
Lini alikwambia kuhusu haya unayotaka kutuaminisha !!??
Acheni kumtumbukizia maneno mdomoni.
 
Tukubaliane kila enzi na manabii wake ila msije mkasema na Tito huyu ni nabii kwenye enzi hizi [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Watu kama wewe kiazi inabidi tuwaambie kuwa magufuli hakuwa anajali utawala bora, haki za binadamu na ubaguzi
Katika serikali yake alitengeneza makundi ya kuteka watu na kuwatesa na kuwaua, hakutaka kuruhusu wakosoaji wake wamkosoe ambapo alifika hadi stage ya kufungia vyama vingine visiomkosoe na kwa asilimia kubwa aliweka watu wake wa karibu serikalini kuanzia na mandugu pamoja na wale wenye mawazo kama yake.

Hukufaa kuwa hata mwenyeki wa kijiji
Ww ndie hufai hata kuwa kiongozi wa mdogo wako mmoja! Hujitambui i see! Tena angeongeza kidogo ili makauzu wote wapiga makelele kwa niaba ya mabeberu wangetumbukizwa mto kagera angalau tuongeze utalii kwa kulisha mamba😡!
 
Ww ndie hufai hata kuwa kiongozi wa mdogo wako mmoja! Hujitambui i see! Tena angeongeza kidogo ili makauzu wote wapiga makelele kwa niaba ya mabeberu wangetumbukizwa mto kagera angalau tuongeze utalii kwa kulisha mamba😡!
Nyinyi manduli wa marehemu ndio tutawatumbukiza mtoni mliwe na mamba.

Hamfai hata kwa kurumangia maana mna ukabila, ushamba na ujinga wa ajabuajabu. Mmekwamisha taifa kuendelea kwasababu ya ushamba na unduli wenu
 
Watu wanataka Samia aje na vision yake katika urais Tanzania

Kimsingi huyu mama hata VP hakuwahi kuuota, na kwa hiyo hakuwahi kuwa na picha ya nini afanye akiwa VP! Kwa hiyo, kwa uaminifu kabisa aliendelea kumsaidia JPM kufikia maono yake juu ya kuwa nchi liyo na uhuru kamili kwa kujikomboa kiuchumi na kuwa donor country!

Unless kama ninyi mnaomtaka huyu mama aje na maono yake mengine mnataka kutueleza huyu mama alikaa mkao wa kutaka kuwa rais na hivyo alishakuwa na mtazamo wake wa nini afanye! Kwa kuwa kwa maoni yangu huyu mama yetu hakuwahi ota kuwa rais wa Tz, aliishi kwa maono yaleyale ya boss wake, ya kuikomboa Tz kiuchumi kwa kuitimiza ilani ya ccm!

Na hata baada ya kuondoka boss wake, ambaye ndie mwalimu wake na kwa kweli ndie aliyemuambikiza maono yake juu ya nchi yetu, na sasa mama kushika hatamu za uongozi, sitegemei kumuona akikengeuka na kutoka nje ya reli...maana hii itamuonyesha kuwa ni msaliti wa mwalimu/boss wake, na kwamba alikuwa akiburuzwa tu bila ya yeye mama kujua chochote(ambapo hapo sasa tutashangaa kwa nini hakujiudhuru), au alikuwa anatafuta jinsi ya kuchukua uongozi kutoka kwa boss wake( hii ni kama alikuwa na motive za uasi, kitu ambacho siwezi kukiamini, maana mama yetu alikuwa kajikalia tu na akiwazia ubunge na kwenda kuwapiga maswali mawaziri uchwara bungeni basi, haya mengine hakuwa nayo, Magu akamuibua na kuwa VP)!

Kwa hiyo ukiniuliza mimi, huyu mama hawezi kuwa na agenda mpya zaidi ya kuyaendeleza mazuri yote ya mtangulizi wake kwa uaminifu kabisa! Mnaotaka aje na maono mapya mnataka kumuingizia agenda zenu na kumtoa kwenye reli ili mama aonekane kuwa hakuwa mdaidizi na mwanafunzi mwaminifu kwa boss na mwalimu wake na hivyo kutaka kumwingiza kwenye 18 za kuonekana alimtakia mabaya bosd wake! Katu hamtaweza.

Hao wote wanataka kuchomekea agenda zao hata kama ni mumewe wajitafakari sana I see kama wana nia njema yoyote juu ya mama yetu! Maana mnataka aonekane kuwa ni adui wa wazalendo na ukombozi wa kiuchumi wa taifa letu! Mungu
Exactly. Kama wanataka awe na vision yake angojee 2025. Agombee, alete maono yake, atafute pesa na ayatekeleze!
 
Back
Top Bottom