Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Wadau nawasalimu.Watanzania Tumekuwa tunapiga kelele KUDAI KATIBA MPYA. Viongozi badala ya kuendeleza Mchakato wa Kupata KATIBA MPYA wameanzisha Jambo jipya na lisilo na TIJA la Kurekebisha baadhi ya Vifungu kwenye TUME ya UCHAGUZI.
Kimsingi hata kana hatujui Sheria TUME ya UCHAGUZI ni zao la KATIBA MPYA hivyo ilipaswa ipatikane kwanza KATIBA MPYA ndio TUME Huru ya Uchaguzi Ipatikane.
Kitendo cha Kuhangaika kupata TUME HURU ya Uchaguzi wakatu KATIBA iliyoiunda hiyo TUME ni ile ile ni KUPOTEZEANA MUDA.
Wanasiasa hasa wa UPINZANI Kuhangaikia TUME HURU ya UCHAGUZI bila kwanza KATIBA MPYA mnajiingiza kwenye MTEGO wa CCM
Jiulizeni KWANINI CCM haitaki KATIBA MPYA bali inataka Marekebisho ya Vifungu tu kwenye TUME ya UCHAGUZI?
Kimsingi hata kana hatujui Sheria TUME ya UCHAGUZI ni zao la KATIBA MPYA hivyo ilipaswa ipatikane kwanza KATIBA MPYA ndio TUME Huru ya Uchaguzi Ipatikane.
Kitendo cha Kuhangaika kupata TUME HURU ya Uchaguzi wakatu KATIBA iliyoiunda hiyo TUME ni ile ile ni KUPOTEZEANA MUDA.
Wanasiasa hasa wa UPINZANI Kuhangaikia TUME HURU ya UCHAGUZI bila kwanza KATIBA MPYA mnajiingiza kwenye MTEGO wa CCM
Jiulizeni KWANINI CCM haitaki KATIBA MPYA bali inataka Marekebisho ya Vifungu tu kwenye TUME ya UCHAGUZI?