Msinichekeeeee!! Msinichekeeeee!

Msinichekeeeee!! Msinichekeeeee!

PANGU PAKAVU.

Member
Joined
Jul 28, 2010
Posts
10
Reaction score
0
Jamani wadau mi ni mgeni humu ndo nimiingia sasa ivi naombeni kura zenu za ukaribisho.Kichama mi ni mfuasi wa mageuzi na si Mapiinduzi.
 
Tia Mchuzi, JF ni jamvi huru kabisa, sidhani kama kunamtu wa kukucheka. Karibu kwa positive thinking.
 
Kabla ya yote naomba ujitathmini mwenyewe kama umekombolewa kimawazo lakini kama unataka mabadilko ya kiuchumi katika nchi hii badilika kimtizamo.
 
Hatukuchekiiiiiiii, Hakukuchekiiiiiiiiiiiiiiiiii

Ila tutachangia posts zako!
 
pako pakavu??
kwetu kuna neema...............TZ bila CCM inawezekana......sema Ameen
 
hawa wageni wasiku hizi kweli wamebadilika!!
hivi unaweza kwenda sehemu ambayo huwafahamu watu wakoje ukaomba ukaribisho kwa staili hii.
nina wasi wasi na huyu mgeni
n way Karibu jamvini pako pakavu
 
hawa wageni wasiku hizi kweli wamebadilika!!
hivi unaweza kwenda sehemu ambayo huwafahamu watu wakoje ukaomba ukaribisho kwa staili hii.
nina wasi wasi na huyu mgeni
n way Karibu jamvini pako pakavu

Usishangae hiyo ndio hali halisi ya utandawazi ambayo imezaa kizazi kipya
 
Back
Top Bottom